Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Kama Mbowe ni gaidi na amechunguzwa na kupatikana kwa haraka hivyo, je ni kwa nini mauaji, upotevu wa watu, kupigwa risasi Lissu na mauaji ya waliouawa wakati wa mikutano ya uchaguzi Kinondoni, Mwanza na kwingineko, hadi leo hawajachukuliwa hatua?

Ama selective justice?? Justuce hutendeka tu anapoguswa mtu kutoka serikalini na chama pendwa?

Kwa kweli kauli za polisi wetu mara nyingi zinaonekana za kitoto sana kwani hata mtoto wa miaka mitano anaweza kureason kuwa Mbowe hawezi kufanya ugaidi! Ila kuna kikundi kinataka kulinda kazi zao na bila kutoa sababu ya ajabu kama hiyo hawawezi kutoka katika shimo walilojiingiza kwa kumkamata mwenyekiti kama Mbowe bila ya sababu ya maana.

Poleni sana polisi wa Mwanza na wasaidizi wenu wa Dodoma!

Ila namlilia Rais SSH, Mwanandenja wa kwanza kuwa rais East Africa kujiingiza katika sifa za ukatili!

Let us hope it be resolved sooner than later for the sake of the nation!! Amen!
 
Kama Mbowe ni gaidi na amechunguzwa na kupatikana kwa haraka hivyo, je ni kwa nini mauaji, upotevu wa watu, kupigwa risasi Lissu na mauaji ya waliouawa wakati wa mikutano ya uchaguzi Kinondoni, Mwanza na kwingineko, hadi leo hawajachukuliwa hatua
Utalia sana mbowe anatuhuma nzito usiijiingize mkenge


USSR
 
Tunatoza maskini miamala ya simu halafu tunatumia kodi za wananchi kwa kukamata watu na kuwasafirisha kutoka Mwanza mpaka Dar na kurudi Mwanza kwa ajili ya mambo yasiyokuwa na manufaa kwa taifa?

SSH being a woman sikutegemea jambo kama hilo litendeke under her watch! Kweli? Ugaidi? Mbowe? Wakati mwendazake ameondoka scot free kwenye anga za polisi hawa mashujaa?

What a joke!

This can only happen in Tanzania ya awamu ya tano !!!! I hope siyo ya awamu ya sita pia because I would be very disappointed!!
 
Kama Mdude walimbambikia madawa na watu zaidi ya Mia wametolewa jela kwa kubambikiwa Nani ataliamini Jeshi la polisi la Tz???????
 
Ukisoma kile kipeperushi cha Polisi chenye tuhuma za kubumba na za kitoto dhidi ya Freeman Mbowe utaona inasomeka 22.07.2020.

Hii inaonyesha barua hio iliandikwa kwa pressure au kwakuthibitisha ujinga na uhuni wa Jeshi la CCM la Polisi. Time will tell
 
Hii nayo inaweza ikawa hadithi tamu kuisikiliza.

Hebu idadavue vizuri!

Hawa watu sasa wanatapatapa wakidhani waTanzania ni wajinga.

Hakuna mtu aliyetafuta njia za kummaliza Mbowe kama alivyotaka kuitupilia mbali CHADEMA, tena bila kuficha, kama Magufuli, lakini alishindwa

Nafasi nzuri kabisa waliyokuwa nayo CCM kuimaliza CHADEMA na viongozi wao ilikuwa wakati walipowarubuni Makatibu wakuu wao, Slaa na yule Mashinji.

Hawa ndio wangewatumia kama pangekuwepo na siri zozote ndani ya chama kuhusu njama za ugaidi na matakataka mengine wanayoyazua sasa hivi.
Hata kama makatibu hao wangetoa shutuma za kupikwa ili kukidhi matakwa, kidogo pangekuwepo na mashaka.

Tena kumbuka, wakati huo mahakama zilikuwa ni CCM, ikiwa ni mali ya Magufuli kama zilivyokuwa taasisi nyingine zote!

Sasa mara hii, tena kishamba namna hii kuzua jambo la kijinga kama hili, inaonekana mama anaingizwa chakani mchana kweupe. Akiendekeza ujinga wa namna hii, ataonekana mwenyewe ni mjinga wa hali ya juu, asiyefaa kushika wadhifa anaoushikilia.
Hii ngoja niiweke kama reference kwa siku za usoni, unaweza ukawa uko sahihi.
 
Acha sheria ichukue mkondo wake, mbona dogo una haraka gani? Na kwa taarifa yako messages zako zote kwenye simu au computer yako hata ukizi delete kwenye device yako bado zinaweza kuwa retrieved from google. Hata maongezi yako kwenye simu yote yanaweza kuwa retrieved from google kirahisi tu. Hata wewe uliyejificha humu Jf kwa pseudo identity wakitaka kupata identity yako ni rahisi tu kupitia google. Usidhani umejificha na kwamba unaweza kufanya ugaidi wasikutambue. Ndiyo maana Osama bin Laden hakuwa na simu wala electronic device yo yote. Ndiyo maana zoezi la kumpata au.kupata ushahidi ya tuhuma zake zilikuwa ngumu sana. Halafu jua kwamba siyo kila kesi inayoendeshwa mahakamani iwe ya hadhara. Kesi inaweza kuendeshwa under camera.
Hebu jaribuni kunipata mimi kwa kutumia hiyo Google na nitatoa ushuhuda humu javini nikiwa mikono salama yenu watumia Google.
Yaani wewe, huyo dikteta mwanamke na mfumo wenu wote mshirikiane.
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503

YAANI mBOWE NI MJINGA KIASI GANI KUWEKA MISALA YAKE KWENYE LAPTOP YAKE?
 
Ukisoma kile kipeperushi cha Polisi chenye tuhuma za kubumba na za kitoto dhidi ya Freeman Mbowe utaona inasomeka 22.07.2020.

Hii inaonyesha barua hio iliandikwa kwa pressure au kwakuthibitisha ujinga na uhuni wa Jeshi la CCM la Polisi. Time will tell
Hiyo haiondoi kuwa mbowe ni gaidi ,pongezi Sana kwa rais wetu

USSR
 
Ukisoma kile kipeperushi cha Polisi chenye tuhuma za kubumba na za kitoto dhidi ya Freeman Mbowe utaona inasomeka 22.07.2020.

Hii inaonyesha barua hio iliandikwa kwa pressure au kwakuthibitisha ujinga na uhuni wa Jeshi la CCM la Polisi. Time will tell
Iko wapi hiyo barua!
 
Rais alimpa MBOWE pole baada ya kufiwa na Kaka yake, je Kuna uhusiano gani Kati ya rais na gaidi? Je Rais alikuwa misleaded au vyombo vya kumpasha rais habari za kinintelijensia ndio vilikuwa usingizini?
Hii chuki CCM watailipa tu

IMG_20210722_205824.jpg
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503
Ni hivi, kama kweli Mbowe ni gaidi basi anyongwe tu, yeye na wanaharakati wetu uchwara waliojazana hapa nchini wakati hawana lolote la maana walifanyalo zaidi ya kupiga kelele. Yeyote anayeua na kupanga ujangili dhidi ya viongozi wa nchi ni adui wa nchi, anyongwe Mbowe na wenzake wote walioshiriki. Turudishe heshima ndani ya nchi yetu, kumbe ndiyo maana Lissu anaogopa kurudi nchini, kabaki tu Ulaya kubinywa pumbu na wazungu.
 
Ukisoma kile kipeperushi cha Polisi chenye tuhuma za kubumba na za kitoto dhidi ya Freeman Mbowe utaona inasomeka 22.07.2020.

Hii inaonyesha barua hio iliandikwa kwa pressure au kwakuthibitisha ujinga na uhuni wa Jeshi la CCM la Polisi. Time will tell
Kwani polisi wa Tanzania wanajuwa kusoma, kutamka maneno yenyewe shida kwao? We kijana niretee rire rijitu niribamize, yaani shida kweli.
 
Nampongeza rais Suluhu kwa kutokurupuka kumnasa Mbowe mapema. Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, sitoend mbali na kuwaboa kwa kuandika gazeti hapa. Kuna maongezi ya kina Mbowe ambayo ni nyeti yalinaswa na serikali na baada ya hapa wakaanza kufuatiliwa taratibu mpaka serikali ikajiridhisha nayo ndipo wakamkamata huyu gaidi. Hasira za kukosa urais zimemponza Mbowe na Lissu na ndiyo maana Lissu hataki kurudi nchini anaogopa kunyongwa.
 
Mbowe akutwa na tuhuma za ugaidi za kuuwa viongozi wa serikali.

Wampeleke gereza la kisongo akakutane na Sabaya.

Itajulikana tu aliyemuuwa Magufuli na uki connect dot utaelewa Tundu Lisu alijuaje kama Magufuli anaumwa?
Lisu alikuwa anapewa na nani taarifa za kwamba Magufuli anaumwa na hatapona?

Bila shaka laptop za mbowe zilizokamatwa zimesema mengi kuhusu kundi la kigaidi.
Ni haya makundi ya ugaidi ndiyo yalikuwa yanawapa taarifa.View attachment 1863503
Pot anaonekana mchele mchele

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom