Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Gaidi mwanasiasa anaejua kuchezea matukio kwa nyakati ambae hapotezi fursa yaani anaendesha shughuli za msiba wa Kaka yake kwa tahadhari za korona kisha anapaa kwenda mwanza kuzivunja
Si ndio huyu alisema amejeruhiwa na watu wasiojulikana kumbe aliteleza akitoka kupiga Faru Joni

ndio hujiuliza kweli TISS walimpiga Yule jamaa risasi zote zile wakashindwa kumuua kweli au ndio Bavicha waliamua kumtoa sadaka ili waneemeke kisiasa

Jeshi la Polisi sio Bavicha hawakuwahi kumtuhumu kwa Ugaidi kwa miaka yote hiyo wamefanya hivyo wakati huu si kwa sababu Samia ni mbaya kuliko Magufuli bali ni kwakuwa kuna sababu ya kufanya hivyo na wanajua watawajibika kwa matokeo yote ya shutuma zao
 
Nimepima maelezo ya msemaji wa polisi na Mbowe mwenyewe, nimetafakari Sana.

Ila kwangu nimeamua kumwamini Mbowe na kumpuuza huyu polisi. Kuna sababu nyingi Sana za kumuamini Mbowe, hata mtoto angeamini tu.

Pole sanaMbowe, umefanyiwa ugaidi ma magaidi, tunajua. ila Sasa unaitwa gaidi wewe.

Lala kwa taabu huko uliko ila tunakuombea Sana huwezi dhurika na hao mawakala wa magaidi wanaokulinda kwa bunduki zetu.

Subira. Je umepima rangi na mwonekano wa mavazi mapya. Umetafakari au kule kuna Blockade.
 
Gaidi mwanasiasa anaejua kuchezea matukio kwa nyakati ambae hapotezi fursa yaani anaendesha shughuli za msiba wa Kaka yake kwa tahadhari za korona kisha anapaa kwenda mwanza kuzivunja
Si ndio huyu alisema amejeruhiwa na watu wasiojulikana kumbe aliteleza akitoka kupiga Faru Joni

ndio hujiuliza kweli TISS walimpiga Yule jamaa risasi zote zile wakashindwa kumuua kweli au ndio Bavicha waliamua kumtoa sadaka ili waneemeke kisiasa

Jeshi la Polisi sio Bavicha hawakuwahi kumtuhumu kwa Ugaidi kwa miaka yote hiyo wamefanya hivyo wakati huu si kwa sababu Samia ni mbaya kuliko Magufuli bali ni kwakuwa kuna sababu ya kufanya hivyo na wanajua watawajibika kwa matokeo yote ya shutuma zao
Tupe stori ya mdude,mo ,roma ,lema ....ugaidi wa mbowe ni upi?
 
Nimepima maelezo ya msemaji wa polisi na Mbowe mwenyewe, nimetafakari Sana.

Ila kwangu nimeamua kumwamini Mbowe na kumpuuza huyu polisi. Kuna sababu nyingi Sana za kumuamini Mbowe, hata mtoto angeamini tu.

Pole sanaMbowe, umefanyiwa ugaidi ma magaidi, tunajua. ila Sasa unaitwa gaidi wewe.

Lala kwa taabu huko uliko ila tunakuombea Sana huwezi dhurika na hao mawakala wa magaidi wanaokulinda kwa bunduki zetu.
Mnatia huruma mmeshindwa kuandamana mnabaki kulialia jf
 
Nimepima maelezo ya msemaji wa polisi na Mbowe mwenyewe, nimetafakari Sana.

Ila kwangu nimeamua kumwamini Mbowe na kumpuuza huyu polisi. Kuna sababu nyingi Sana za kumuamini Mbowe, hata mtoto angeamini tu.

Pole sanaMbowe, umefanyiwa ugaidi ma magaidi, tunajua. ila Sasa unaitwa gaidi wewe.

Lala kwa taabu huko uliko ila tunakuombea Sana huwezi dhurika na hao mawakala wa magaidi wanaokulinda kwa bunduki zetu.
Wewe ni mke wa Mbowe? ebu acha polisi wafanye kazi yao wanayoijua
 
Dunia ina manabii wengi FEKI FEKEROO....

M/Mungu ampe nguvu ,afya ,uhai mrefu na kumlinda mh.Rais wetu SSH aaaamin aaaaaamin🙏

#KaziIendelee
Jicho langu la kinabii limeona kifo cha bibi kinatokea very soon
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Jamani tulitaka utawala wa sheria bila kuingilia mihimili kama polisi , mahakama.
Ndio maana kina Sabaya wako mahabusu
Sasa zamu ya Mbowe polisi kwa uchunguzi wao wanasema Gaidi, lkn mahakama itawaita wa verify ili mahakama imutie hatiani au awe huru.

Na kuwekwa ndani ni kwa usalama wake na taifa.
Unajuaje huend polisi wkagundua anataka kudhuliwa inabidi awe ndani au antaka kudhulu.
Yaani polisi waliomshikilia Sabaya ndio wamemshika Mbowe.
Tuache double standard
Mulishngilia utendaji wa Polisi na Takukuru, sasa tuache kuwaingilia
 
Last kicks of a dying horse.

The system is infected, diseased and dying.
 
Huyu mama kumbe naye hana akili kabisa, kesi za ovyo kabisa na kujiaibisha tuu, walimpiga risasi Lisu kiko wapi sasa? wataishia pabaya sana hawa
 
Huyu mama kumbe naye hana akili kabisa, kesi za ovyo kabisa na kujiaibisha tuu, walimpiga risasi Lisu kiko wapi sasa? wataishia pabaya sana hawa
Mh .Rais Yuko sahihi Sana....

#PundaAfeMzigoUfike
#MzigoWenyeweNiUtulivuWaJMT
 
Mbowe na kundi lake, wameuwa watu wengi ili kuchafuwa jina la Hayati Magufuli. Wanasema uwongo kama Wanakunywa maji. Hayati Magufuli auwe watu na kuwatupa ‘baharini kwa kitu gani? Wamefanya maovu sana kuichafuwa serikali kwa faida yao na wala sio kwa faida ya taifa.
Yajayo siyo tu yanafurahisha pia yatashangaza WanaCHADEMA, Viongozi wao, Taifa na Jumuiya ya Kimataifa. Ni pale madai ya watu kupotea na kushambuliwa yatakapotolewa majibu yenye ushahidi mweupeee.
 
Jeshi litumie weledi ktk kufanya kazi zake, lisitumike kisiasa. Awamu ya tano jeshi hili lilitumika kubambikia watu kesi za uhujumu uchumi na kuwaweka watu ndani kwa uonevu.

Sasa limeibuka na tuhuma feki za ugaidi dhidi ya mwanasiasa nguli Alikaeli Freeman Mbowe. Tuhuma ambazo zitaliumiza taifa kiuchumi. Ugaidi ni tishio duniani kote. Nchi makini hata zikiwakamata magaidi real huwa zinawashughulikia kimya kimya ili kutochafua sura za nchi zao

Sasa hapa nchini jeshi linadiriki kutangaza tuhuma feki za ugaidi hadharani????!! Hii ni hatari kwa mustakabali wa taifa letu ktk sekta ya wawekezaji.

Huyu bibi tumepigwa!
Mbowe ni mtu maarufu, tajiri na M/Kiti wa Chama Kikuu cha Upinzani. Haiingii akilini Jeshi la Polisi limbambikie tuhuma nzito hivyo na kuutangazia ulimwengu.

Usije ukapata kiharusi ukweli utakapowekwa wazi.
 
Back
Top Bottom