Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Freeman Mbowe atuhumiwa kwa Ugaidi na kupanga njama za Kuua Viongozi wa Serikali

Hakuna kiongozi yeyote makini anaetaka amani na utulivu akawavumilia chadema na huu ndo ukweli Chadema mnafanya siasa za kizamani sana mnafanya siasa zilizokuwa zinafanyika enzi za kupigania uhuru

JPM ndo aliwaweza vzr Gwanda zilikuwa night dress mnazivaa usk wkt wa kulala
mataga sukuma gang mmefufuka
 
Hii movie kuhusu viongozi wa CHADEMA imeandaliwa kwa kiwango cha chini mno na inaabua maswali mengi kuliko majibu kuzidi hata ile ya kutekwa kwa MO.

Na kwakuwa jambo hili linaonekana kugusa hisia za watu wengi na kuvuka mipaka ya nchi huku shinikizo likiongezeka, sitashangaa wakati wiwote wakatafutwa watu wa kubebeshwa lawama na hao wanaweza kuwa ni Sirro na pengine hata Boss wa TISS

Inawezekana Mama asiwe na wazo la kubebesha mtu lawama kwa makosa yake, ila wanasiasa wenzake na ambao ni wakongwe ndani ya chama, wanaweza kumshauri afanye uamuzi wa kuwato watu mbuzi wa kafara ili kulinda image yake.

Tuhuma hizi ni nzito, ngumu kuzithibitisha na inaonekana walizi-underestimate huku dunia ikifuatilia, hivyo ni lazima wajisafishe na katika kujisafusha huko, Sirro ndio anaeweza kuwa wa kwanza kubebeshwa zigo la lawama kwa kuondolewa katika nafasi yake huku Boss wa TISS nae akikalia kuti kavu.

Tusubiri.
Ni kama movie la kihindi ...... hata usipoifamu lugha au hata usiposikia lugha bado uataelewa tu provided that unaona picha nzima!!
 
Nakumbuka ile aliyosema huku kalegeza mimacho "mataifa ya nje wanatuangalia sasa na waandishi wa kimataifa wanakuja kwa ajili ya RE=Branding Tanzania. " sasa ni kipindi muafaka cha Re branding Tanzania. Kumbe wanawake wanaweza kuwa madikteta
Kila mtu anae mgusa Mbowe ni dikteta , nyie misukule ya Mbowe mna shida
 
He ran away to Mwanza to deceive the public into believing that he was arrested because of the symposium they were preparing to hold to discuss constitutional review issues
 
Lengo la terrorist government ni kuwafanya watu waogope. Kwa hiyo raia wakiogopa, lengo la terrorist government linakuwa limefanikiwa. Raia ili kuondokana na kuwa watumwa wa government terrorism ni kutokukubali kutishwa.
CCM na serikali yake kwa hakika zina sifa zote za kuwa "terrorist".

Moja ya mada za kufikirisha sana hapa JF.
 
Akitaka kuharibikiwa ni aende tu kinyume cha JPM, sisi the majority tulimchagua JPM na hulka yake na si kwamba hatukujua tunachagua mtu wa namna gani, hilo mnalifahamu vyema na ndo maana mkaanza kumwingiza mother mkenge ili achukiwe na wafuasi wa JPM ambao ndo the majority ya wapiga kura mkitegemea wapige kura za hasira 2025, mama kashtuka ngoja awanyooshe..[emoji4]
nonsense eti wapiga kura wengi, sukuma gang
 
huyu Gaidi alitakiwa ahamishiwe Guantanamo Bay Detention camp.
ni vyema Jeshi letu likashirikiana kwa karibu sana na interpol kwaajili ya upelelezi zaidi.
 
We jifariji tuu.unafikiri CHAMUDATA ni chama cha upinzani???ni CDM tuu,wengine wahuni tuu.uyo jpm Mungu kamchukua ili iwe fundisho kwenu.bado wengine wabishi
Babu yako na baba yako walikufa ilikuwa ni fundisho kwa nani? Mkapa na Prof. Baregu, Maalim Seif, wote na Prince Philip, Mandela ni fundisho kwa nani? Aliye kaa milele ni nani mpaka sasa ambaye hakutolewa fundisho?
Ni seme huwezi ukawa wewe mwislamu, maana waislamu wanaamini kifo ni faradha na kila kumbe kitakufa! Wewe bado unabeza mtu kufa! Unakera kwa ukosefu wa akili.
 
Back
Top Bottom