ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,451
- 2,348
Hiko chama Cha watu wa kaskazini .,bas tu mbowe nae anaona lema ni kopo hamna kitu kichwani ila angemwachia chama.Wanaelewa vizuri, namba hazidanganyi, Mbowe ameshawapiga KO kabla ya uchaguzi, Mbowe amuandae John Heche kuwa mrithi wake.
Mkuu, kwani hotuba hujaisikiliza? Maridhiano, kujenga na kuimarisha chama, ofisi imetajwa hapo, nk. Nashauri urudie kumsikiliza tena.Lissu ameeleza sera zake,, sasa mbowe sera zake ni zipi?
Jambazi la siasaMwali bado hajatolewa nje au?
Hivi wewe unaelewa kiswahili kweli? Lisu amejiunga na Chadema gari likiwa limeshawaka ndio sababu kuu ya yeye kuondoka Nccr Mageuzi kujiunga Chadema ili kuongeza nguvu na akagombea Ubunge kwao akashinda.
Hakuna cha unabii wowote Wabongo mnapenda sana porojo.
Sasa ni wakati wa Lisu kumuangusha Mbowe kwenye uchaguzi huru na wa haki kama alivyofanya Jacob Zuma kumuangusha Thabo Mbeki Urais wa ANC na akiwa Rais wa nchi Mbeki pia.
Sasa Mbowe hana dola mnatokwa mapovu, nendeni kwenye box mkamng'oe, akishinda maana yake yeye ndiye anayekubalika na tutaangalia margin vote ni tofauti ya kura ngapi.
Mkoloni wa ubelgiji anataka kutawala Tanzania ofisi yake ikiwa ubelgijiTAL familia Iko ulaya, anagombea uwenyekiti wa chama 🥺
Lissu mwenyekiti ajaeteam Lissu wamepigwa na kitu kizito chenye ncha kali cha kichwa
Jibu swali, mwenyekiti wa ccm huwa anagombea na nani?Iko hivi bosi sisi mwenyekiti anaenda na mhula, ukiisha haruhusiwi kugombea tena. Ingependeza tuongeona wapinzani wanakuwa na vipindi vya muhula kwa uenyekiti
Huu ni mtihani mkubwa, ambao unaikabili CCM!!!Jibu swali, mwenyekiti wa ccm huwa anagombea naa nani?
Sasa kwa nini mapovu yanakutoka wakati unajuwa hivyo ni vikundi vya watu?Poyoyo katika ubora wako, km Chadema im sure we unajiunga mi nilikua huko. Kitambo tu hata hakikua chama halisi.
Kuhamia wapi kwa mfano?
Hakuna chama cha upinzani Tanzania.
Kuna vikundi vya watu wanagombea kula yao basi
Ukizingatia wewe sio mpiga kura,kuwa mpole!Natamani wapiga Kura wa Chadema waoneshe hasira zao Kwa mwenyekiti ili liwe fundisho Kwa wale wote wenye tamaa ya madaraka. Kama chama wapiga Kura mkataeni mwenyekiti ameshindwa kulinda heshima yake. Pigeni Kura ya hapana Kwa Mbowe.
Wewe Unadhani huo uchaguzi ni yale maigizo ya ccm ya ndio au hapana? Hapo hakuna kura ya Hapana ni mtanange wa either umpigie Lisu au Mbowe, mambo ya hapana ni huko ccm anakogombea mgombea mmoja na anashinda kwa asilimia mia moja, usanii mtupu.Natamani wapiga Kura wa Chadema waoneshe hasira zao Kwa mwenyekiti ili liwe fundisho Kwa wale wote wenye tamaa ya madaraka. Kama chama wapiga Kura mkataeni mwenyekiti ameshindwa kulinda heshima yake. Pigeni Kura ya hapana Kwa Mbowe.
CCM inaanza kuabika sasa!Wewe Unadhani huo uchaguzi ni yale maigizo ya ccm ya ndio au hapana? Hapo hakuna kura ya Hapana ni mtanange wa either umpigie Lisu au Mbowe, mambo ya hapana ni huko ccm anakogombea mgombea mmoja na anashinda kwa asilimia mia moja, usanii mtupu.
CCM inaanza kuabika sasa!Wewe Unadhani huo uchaguzi ni yale maigizo ya ccm ya ndio au hapana? Hapo hakuna kura ya Hapana ni mtanange wa either umpigie Lisu au Mbowe, mambo ya hapana ni huko ccm anakogombea mgombea mmoja na anashinda kwa asilimia mia moja, usanii mtupu.
Mbowe amesisitiza sana kuhusu maridhiano kuwa ndio sera yake kuu akiwataja, Mandela, Gandhi, Kennedy nk.Mkuu, kwani hotuba hujaisikiliza? Maridhiano, kujenga na kuimarisha chama, ofisi imetajwa hapo, nk. Nashauri urudie kumsikiliza tena.
Milango iko wazi, Tanzania kuna vyama zaidi ya 20, tafuteni chama cha kwenda mkakijenge au anzisheni chama chenu.Mbowe amesisitiza Saba kuhusu maridhiano kuwa ndio sera yake kuu akiwataja, Mandela, Gandhi, Kennedy nk.
Maridhiano yalikuwa ya ukweli mfano Afrika kusini katiba mpya, kuondoa ubaguzi, uchaguzi huru. Gandhi India kupewa uhuru nk.
Haya maridhiano ya Mbowe hayabadilishi mfumo uliopo sasa zaidi kuiongezea nguvu CCM.
Zidumu fikra za mwenyekiti Freeman Mbowe!!!Wakati wowote kuanzia sasa Mhe Freeman Mbowe kutoa tamko rasmi la ama atagombea Uenyekiti wa CHADEMA ngazi ya Taifa ama laa.
Mtakumbuka Mhe Freeman Mbowe ameitumikia nafasi hii kwa zaidi ya miongo miwili sawa na miaka 21 mfululizo.
Endapo atatangaza kugombea tena atakuwa ni mgombea wa nne nyuma ya Tundu Lissu na Odero Odero,
Je, kama Taifa tunatarajia nini kutoka Upinzani kuelekea 2025?
Usiondoke hapa Jf kwa habari zaidi
=======================================
Siku ya leo Disemba 21, 2024 Freeman Mbowe ametangaza rasmi kugombea kwa mara nyingine nafasi ya Uenyekiti wa CHADEMA Taifa.
Mbowe amsema kuwa kutokana na Uchaguzi mkuu ambao unakuja si vyema kubadilisha "makamanda" na kwamba bado yupo sana kuongoza chama hicho na mara baada ya mkutano anaenda kuchaukua fomu kwenye makao makuu ya chama hicho, Mikocheni.
"Kwa kuzingatia yote haya na mengine mengi ambayo sitaki kuwachosha. Nilisema mara nyingi kuwa nilitamani kuondoka lakini siwezi kuondoka katikati ya minyukano iliyopo. Kwa hiyo CHADEMA nipo, nitakuwepo na nitagombea"
View attachment 3181677
View: https://www.youtube.com/live/8WGa7Xv3hKo?si=JjooipgRmN035_2F