Pre GE2025 Freeman Mbowe: Dkt. Slaa na wanaojiita Tanzania Diaspora wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sijawahi kumuona Mbowe akiwa under pressure, kumbe akiwa depressed
boya kiasi hichi, imagine huyu angaukwaa uraisi wa Tanzania angepiga marufuku hata neno UCHAGUZI na KATIBA. hata Mobutu Sese seko angaionea huru.
Tetesi toka Twitter zinasema mwamba kalambishwa asali ya 12B + na bado anataka asali zaidi. Dr slaa kazungumzia hilo clubhouse ya Twitter anasema kapewa Taarifa na vijana wa system. Vijana wa system wameona wampe taarifa slaa

Video ya sauti ya Dr slaa akielezea watu wanavyolamba asali ipo hapo


View: https://youtu.be/lU_QbyAtMUM?si=w_g-bndY2v_e58vQ
 
Waliokaribu na mbowe wamsaidie jmn anazidi kutoka nje ya mstari, anatia huruma sasa anaanza kuogopa diaspora, kesho ataogopa wanasheria kesho kutwa viongozi wa dini na asiposaidiwa ataiogopa kamati kuu, mda utaongea
 
Waliokaribu na mbowe wamsaidie jmn anazidi kutoka nje ya mstari, anatia huruma sasa anaanza kuogopa diaspora, kesho ataogopa wanasheria kesho kutwa viongozi wa dini na asiposaidiwa ataiogopa kamati kuu, mda utaongea

Walio karibu nae ni kina Ntobi na yule MMM

Unategemea nini?
 
Mbowe kawa mpumbavu kabisa Lissu kachukua form hadharani leo hii anaita ni mapinduzi, kumbe ndiyo maana alipata div 0 .
 
Bila shaka Lisu hakuweka wazi jina la kiongozi wa kiroho, huyu kitenge sijui alitoa wapi hilo jina!!, anyway hakuna ubaya kwa kiongozi wa kiroho kupatanisha watu maana imeandikwa heri wapatanishi
Kitima na Lisu ni Kijiji kimoja na hajaanza Leo kumpogania
 
Mlio karibu na Mbowe mkae naye vizuri.

Kwa hali hii aliyofikia he has stoop so low!

It is dissapointing.
 
Mbowe must go, enough is enough
 
he got a point there lakin dhana ya adui wa adui yangu ni rafiki yangu.Ila kwenye suala la mapinduzi hapo sasa uongo.Kumbe yawezekana hata kile kilichotokea kwa Zitto haikua mapinduzi!!!!
 
Tuambie kivipi Lissu hafanyi kampeni kistaarabu?

Kampeni hasa za chama namaanisha wote mnajenga nyumba moja si vizuri kuanza kuchambana ,uchaguzi ndani ya chama wajikite kwenye hoja/sera na si attacks ...siasa za attacks ni Chama A kwenda Chama B.

Lissu ana attack viongozi wake sasa na kiongozi akiwa attacked lazima ajibu ili kuweka mambo clear na hapo ndipo yanapotokea malumbano.

Ukiona unasifiwa na adui basi jua unakosea...Lissu anasifiwa sana na anapata support kubwa kutoka sisiemu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…