Pre GE2025 Freeman Mbowe kuona ni kuamini, achana na siasa za mkia wa mbuzi, jeuri na kiburi sio mtaji kuelekea uchaguzi 2024/2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Maandamano yapi ya amani? Nendeni mkaandamane Siha.
 
Umeandika kipuuz. So kama samia alichangia maana yake sasa alimnunua Mbowe? Unatufanya wote CCM tuonekane vilaza. Kila mtu atimize wajibu. Nyie ndo mnamkuza kwa kumwogopa sana Mbowe.
 
Umeandika kipuuz. So kama samia alichangia maana yake sasa alimnunua Mbowe? Unatufanya wote CCM tuonekane vilaza. Kila mtu atimize wajibu. Nyie ndo mnamkuza kwa kumwogopa sana Mbowe.
Mbowe kakunja pesa. Anataka watu waandamane. Atangulie yeye na watoto wake.
 
Mbowe kapoteza sera. Siasa zake za 1996 bado anataka azofanye leo.
 
Mkuu ulichokiandika ni maoni yako na siyo uhalisia.

"Timiza Wajibu Dai Haki Yako" CDM kupitia Kiongozi wake Mkuu Mh Mbowe wamefanya hivyo. Kama wametimiza wajibu wao kwenye dawati la maridhiano na Wenzao wa upande wa pili wakawapuuza, kwanini wasidai Haki hiyo??

Pesa alizotoa kule Hai kwajili ya Ujenzi wa Kanisa isitumike kama njia ya kuwaziba midomo watu kudai Haki zao. Lile Kanisa siyo mali ya CDM Bali ni la Wakristo wote bila kujali itikadi zao za Vyama vya Siasa.

Suala la shule kuwa elimu bure ni kiini macho. Bado michango inaendeshwa kama kawaida ikiwemo michango ya Taaluma na Ujenzi. Kama mwanafunzi hajalipa anarudishwa nyumbani. Fuatilia utagundua namaanisha nini. Suala la afya nafikiri umeshasikia kama siyo kushuhudia Wamama wajawazito wakipoteza maisha kwa kukosa huduma stahiki kisa michango ya afya.

Kwa kifupi ni kwamba " Mtu anakupora Shamba lako kisha wakati wa mavuno anakupatia 1% ya mavuno yote nawe eti umpongeze na kumshukuru kwa uungwana wake" ndivyo wanavyofanyiwa Watz na Watawala.
 
Mimi kinachonishangaza ni wanasiasa kutumia hali ya wananchi wake kutokwenda shule (illiteracy) km mtaji wao. Tangu Uhuru wananchi wsmefanywa mandondocha, hakuna kuhoji wala kutoa maoni kwa kibwagizo Cha neno chama Dola.

Wajinga wengine (ashskumu so matusi) utawaskia wanaita Tz eti nchi ya "mama". Seriously, mtu ulietumia kodi ya wananchi maskini hujui hata maana ya nchi na uongozi. Kwa vile wanaongoza familia zao na kujiita kichwa Cha nyumba na baba mwenye nyumba, basi ujinga huo huo wanahamishia kwenye Mali ya Watanzania ambako kila raia ana hisa.

Mbaya zaidi ni kuwatumia watoto wadogo kwenye huu mchezo mchafu (siasa) kwa kigezo Cha halaiki nk. Yani mtoto wa chekechea una mvalisha sare za chama eti unamjengea uzalendo. This is incureable nonsense. Kwenye mambo ya msingi ukitaka kuwatumia utaskia "hao ni watoto wadogo,".
 
WAPUMBAVU NILIWAAMBIA KUWA WANASHANGILIA KIFO CHA MAGUFULI
 
Hayo ndio matatizo yenu mnawatukana wananchi kwa kuwaita Illiterate huku hao ndio wapiga kura.
Hamna sera za maana za kushawishi wapiga kura bali matusi na kejeli.
Mngeweka bajeti kivuli na sera madhubuti za kuendeleza Nchi mngeeleweka.Mmegeuza siasa kama ni ushabiki wa kupinga kila kitu na kufurahia yanapotokea matatizo kwa Nchi.Majukwaani mmekuwa walalamikaji kwa lugha za matusi na kejeli.Sera zenu hazieleweki kwani mmekuwa wanaharakati zaidi kuliko wanasiasa.Hamna sera za kushawishi.Hata hapa JF wengi wenu hamna nguvu za hoja bali hoja za nguvu,matusi na kejeli.
 
Huko UDASA wewe ni mfagia ofisi.
 
Ukitaka kuishi vizuri na Wahuni ishi kihuni. CCM wanafanya maigizo wakiona wenzao kama wajinga. Huwezi kuwa na maridhiano aambayo Hakuna hata 1 Kati ya madai yako linqtekelezwa. CDM ni wavumilivu Sana.
 
Ukitaka kuishi vizuri na Wahuni ishi kihuni. CCM wanafanya maigizo wakiona wenzao kama wajinga. Huwezi kuwa na maridhiano aambayo Hakuna hata 1 Kati ya madai yako linqtekelezwa. CDM ni wavumilivu Sana.
Mbowe kakaa kwenye uenyekiti zaidi ya miaka 20. Je, yeye ni mfalme wa CDM?
 
Hivi mnufaika wa ujinga wa wapiga kura ni nani. Usimtaje tu maana unamjua.
 
Inasikitisha kusoma upuuzi kutoka kwa "msomi" wa UDASA. JIELEKEZE KWENYE HOJA ALIZOTOA MH. MBOWE.
 
Mbowe kakaa kwenye uenyekiti zaidi ya miaka 20. Je, yeye ni mfalme wa CDM?
Vyama vya ukombozi vyote kukiwa na mtu mwenye uwezo wa kuongoza huwa anaachwa madarakani mpaka ukombozi upatikane, acha kwanza mbowe awanyooshe kisha atamwachia Tundulisu
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…