Freeman Mbowe, Mnyika na Viongozi CHADEMA wakutana na Rais Samia na Viongozi wa CCM Ikulu ya Chamwino - Dodoma leo 20/5/2022

Kufikia uhuru na demokrasia kamili katika nchi yetu ni mapambano ya vita kamili. Lazima uwe na multiple specialized forces and tactics and strategies.
Lazima Chadema ijipange na ipigane in both frontiers.Lazima ivipige vita vyema kipropoganda, kiuchumi, kidipromasia, kisheria,kisiasa, kiroho nk. Mfano mie si askari wa mtandao ingawa nipo hapa. Uwanja wangu ni vita vya kiroho na huko naupiga mwingi. Waache askari wa diplomasia au wa kisheria Kama akina Kibatala waupige mwingi kwenye special tactical area zao.
Kazi ya muhimu zaidi ni kujenga jeshi lenye vitengo vyote na kuviimarisha kwa Kila aina ya silaha na mbinu.
Kuishinda CCM inabidi kupigana nayo ardhini, majini, angani, chini ya ardhi, anga la juu na zaidi.
 
Mfupi kuliko wote ndiye mkubwa kuliko wote
 
Mkuu badala yake wafanye nini? Waandamane? Wako wapi waandamanaji
Waingie msituni? Liko wapi jeshi la kuingia msituni?

Hakuna kwenda kwenye mazungumzo ya kitapeli, watu hawawezi kuandamana hiyo ni kweli, lakini wanaweza kuhamasishwa ususiaji wa chaguzi, kutoshirikiana na wanaccm kwenye mambo ya kijamii, njia hii ya utengano ni salama na isiyoacha maumivu na vifo kwa wafuasi wao. Hayo mazungumzo ya kitapeli sina imani nayo hata chembe.
 
Chadema imegawanyika kwenye hili, Wamarangu na Machame wako na con man Mbowe na wanaona ni sawa ili kumlinda corrupt Mbowe na chadema second class wa Mikoa mingine wana doubt hii move, ngoja tuone itakavyokuwa!
Kutofautiana Ni kawaida sio Kama CCM hakuna wa kumkosoa mwenyekiti
 
CDM

Tengeneza kuungwa mkono na jamii, ivuteni jamii iwe upande wenu, na ndio siasa haswaa

Hii ya kutengeneza moves kupata keki ya taifa mtaishia second runners always if not forever..Na always mtakuwa watu wa kubeg

Kuna makosa na dhambi mmeifanya kwa raia wa Tanzania

Leo nyie hamna mvuto kwa raia...samia yes atawavuta, atawapenda

Ila CCM haitawavuta na kuwapenda!

Mko na bidii kutafuta kupendwa na mkuu wa nchi ila sio kwa wananchi
 
Mkuu lakini hayo yameshafanyika. Chadema wamesusia chaguzi na bunge bila shaka unakumbuka. Lakini tazama pia impact ya kususia inavyokuwa haileti matokeo makubwa kwa sababu wako wapi wananchi wakususia drastically?

Baada ya kususia na kupaza sauti what next? Si inabidi mkae muweke hoja mezani? Kwa nini tusiamini pia hii meza wanayokaa ni impact ya kususia vikao vya kamati ya Zitto,bunge nk
 
CDM anatafuta faraja!!!
 
Mkuu,
Huwezi kufuta legacy za dikteta meko kwa siku moja.

90% ya viongozi waliwekwa na meko.

Kuanzia Tulia akson
 
Sahihi kabisa kama alivyofanya TL wakati ule🤣
 
True
 
Binfsi nitakua wa mwisho unga mkono hili ,mh Mbowe,Said Issa,Mnyika,Heche, Catherine,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…