Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
Hizi ndiyo siasa za kistaraabu, siyo viongozi wanangania kutotambui matokeo ya uchaguzi wa 2020 na matunda yake.
-Nenda kwenye meza ya mazungumzo kuyajenga,
-Tume ya uchaguzi ikitangaza matokeo hizi nchi zetu za Africa kubadilisha inakuwa ngumu sana.
-Matokeo yakitangazwa saa 8 usiku tegemea Raisi ataapishwa kesho yake.
-Hawatoi muda wa asiyeridhika na matokeo kukata rufaa mahajama.
-Ni vema tukawa na Mahakama ya Katiba.
-Africa kusini na Kenya wenzetu Wana Mahakama za Katiba na matokeo ya uchaguzi yanaruhusiwa kupingwa mahakamani ,na Mahakama ikaruhusu kurudia uchaguzi.
-Katika hao wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA naibu Katibu Mkuu Kigaila yumo,kwa maana huwa anatoa statement ambazo hazina mashiko mara nyingi.
-Mchezo wa siasa hautaki hasira.
Ushauri
-Chadema Wana kila sababu ya kuumpa ushirikiano Mama SSH kwa kupeleka wabunge wa viti Maalum 19 vilivyopatikana kutokana na asilimia za kura za uraisi na wabunge kwenye uchaguzi wa 2020.
-Wabunge hawa watapeleka agenda mbadala kwa niaba ya wananchi/Chadema Bungeni.japakuwa ni wachache,
-CCM/CHADEMA /ACT wazalendo wawashauri Wabunge wao wawe wanawasilisha matatizo au maoni ya wapiga kura wa kwenye majimbo yao au wananchi kwa kufanya mikutano na wananchi kusikiliza matatizo yao kabla ya kwenda bungeni.
-Wabunge wa CCM/CHADEMA/ACT wazalendo wawe wanatoa hoja na ushauri wa kujenga nchi,kwa Uhuru na bila uoga.
-Yaliyopita si ndwele tugange yanayokuja
-Hongera Sana viongozi wakuu wa CCM na CHADEMA kwa kukutana na kuyajenga . -Wananchi tunataka amani itamalaki ,ili kazi ziendelea.
-Nenda kwenye meza ya mazungumzo kuyajenga,
-Tume ya uchaguzi ikitangaza matokeo hizi nchi zetu za Africa kubadilisha inakuwa ngumu sana.
-Matokeo yakitangazwa saa 8 usiku tegemea Raisi ataapishwa kesho yake.
-Hawatoi muda wa asiyeridhika na matokeo kukata rufaa mahajama.
-Ni vema tukawa na Mahakama ya Katiba.
-Africa kusini na Kenya wenzetu Wana Mahakama za Katiba na matokeo ya uchaguzi yanaruhusiwa kupingwa mahakamani ,na Mahakama ikaruhusu kurudia uchaguzi.
-Katika hao wajumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA naibu Katibu Mkuu Kigaila yumo,kwa maana huwa anatoa statement ambazo hazina mashiko mara nyingi.
-Mchezo wa siasa hautaki hasira.
Ushauri
-Chadema Wana kila sababu ya kuumpa ushirikiano Mama SSH kwa kupeleka wabunge wa viti Maalum 19 vilivyopatikana kutokana na asilimia za kura za uraisi na wabunge kwenye uchaguzi wa 2020.
-Wabunge hawa watapeleka agenda mbadala kwa niaba ya wananchi/Chadema Bungeni.japakuwa ni wachache,
-CCM/CHADEMA /ACT wazalendo wawashauri Wabunge wao wawe wanawasilisha matatizo au maoni ya wapiga kura wa kwenye majimbo yao au wananchi kwa kufanya mikutano na wananchi kusikiliza matatizo yao kabla ya kwenda bungeni.
-Wabunge wa CCM/CHADEMA/ACT wazalendo wawe wanatoa hoja na ushauri wa kujenga nchi,kwa Uhuru na bila uoga.
-Yaliyopita si ndwele tugange yanayokuja
-Hongera Sana viongozi wakuu wa CCM na CHADEMA kwa kukutana na kuyajenga . -Wananchi tunataka amani itamalaki ,ili kazi ziendelea.