Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,373
- 1,271
KikatibaKesi Iko mahakamani, hakuna mhimili unaweza kuingilia mahakama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KikatibaKesi Iko mahakamani, hakuna mhimili unaweza kuingilia mahakama
Mbowe anafanya kila njia ili kuizuia ile kesi ya kina Mdee maana inaenda kukiumbua Chadema.Wakuu,
Muda huu M/Kiti wa CHADEMA na viongozi waandamizi 9 wa chama hicho wapo Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
Tutarajie jambo gani jipya? Ndo ukurasa mpya wa Siasa za Tanzania?
UPDATE:
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameongoza Kikao cha majadiliano pamoja na Viongozi Wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Ikulu Chamwino Jijini Dodoma tarehe 20 Mei, 2022.
Baadhi ya Viongozi wa CHADEMA waliohudhuria Kikao hicho ni Mwenyekiti Freeman Mbowe, Makamu Mwenyekiti Zanzibar Saidi Issa Mohamed, Katibu Mkuu wa Chama hicho John Mnyika pamoja na Baadhi ya Wajumbe wa Kamati Kuu na Sekretarieti ya Chama hicho.
View attachment 2232248View attachment 2232250
View attachment 2232257View attachment 2232258View attachment 2232259
View attachment 2232260
EeeeenHeeee!Ukiambiwa mimi ni miongoni mwa Timu ya Chadema inayokutana na Samia utakufa au utaishi ?
Tatizo mbowe huwa hatoi feedback yoyoteTangu Mbowe aanze kwenda huko hakuna hata jambo moja lililowahi kufanyiwa kazi na serikali, sijui ugumu wa Samia kufanya hivyo unatoka wapi, na sijui uvumilivu wa Mbowe utaendelea mpaka lini, naona utani unazidi.
- Lissu bado hajarudi nchini, hii inawezekana bado hajahakikishiwa usalama wake.
- Mikutano ya vyama vya siasa bado haijaruhusiwa japo ni takwa la kisheria.
- Wale wahujumu uchumi 19 bado wanakumbatiwa na Spika kule bungeni kinyume cha sheria.
Umeyaweka vyema kabisa.Mbowe awe makini, CCM sio wa kuamini kuwa wanaweza kuweka mazingira yatayoruhusu wao kuachia dola kwa amani.
Anyway, inawezekana strategy ya CHADEMA ni kwanza kutumia meza ya mazungumzo(wasije kulaumiwa kuwa walikataa hiyo fursa), ili kesho na keshokutwa wakitumia mbinu mbadala, wasilaumiwe.
Kwa maneno mengine, watayokubaliana yatakuwa documented na kuwa public, hivyo ataenda kinyume, ndio atalaumiwa.
Ni mtazamo wangu.
Tunahama kutoka kwenye siasa za zama za mawe za kale kwenda kwenye siasa za maendeleo uhuru na demokrasia.👏👏👏👏To open up a new chapter as a nation haijawahi kuwa dhambi...
Hili kama ni kweli bac ni jambo jema kwa kila mwenye pumzi..
Narudia tena Political reconciliation ndiyo njia pekee ya kujenga taifa imara lenye umoja na nguvu kiuchumi kisiasa na kiutamaduni.
Nchi haiwezi kujengwa na mawazo ya upande mmoja.
Kesi Iko mahakamani, hakuna mhimili unaweza kuingilia mahakama
Nani huyo mkuu 'Yoda' maanake hukumtaja wala ujumbe wake unaoujibu hukuuweka.Wewe umechanganyikwa.
CDM wakienda Ikulu hautaki, wakiwafukuza kina Mdee hautaki.
Unataka nini?!
Watu wanadharau sana. Sijui kwanini, utadhani wao tuu ndio wamepewa akili na mungu na wengine wakanyimwaIt is only chadema who can see this, wengine ni Rubbish minds
Dudumizi lazima unune sana ukimuona Heche Ikulu🤣🤣Katiba mpya itoke wapi? We endelea kufanywa mpira wa dana dana huku mwenyekiti na genge lake wakiendelea kuupiga mwingi kupitia mialiko ya raisi. Mmeshaambiwa siku zote hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Jamaa anatengeneza pesa ndefu kupitia siasa uchwara, huku akiwaacha watu wenye misimamo thabiti na chama wakiendelea kutokwa mapovu huko belgium na canada. Endelea na kazi ya kuwarubuni wana mbeya ili itapokuwa inaanzishwa michango ya chama wawe mstari wa mbele kukichangia.
Limewashuka leooooMkuu chadema ya sasa chini ya mwenyekiti wake itakupa presha ya bure. Jamaa anaangalia kwanza masilahi yake na ya familia yake, nyinyi wengine mmeachwa mtetee chama tu mitandaoni. Wengi mtaishia kulalamika tu lakini hamna ujanja wa kumfanya chochote.
Vigezo na masharti ya ROYO TUWA!To open up a new chapter as a nation haijawahi kuwa dhambi...
Hili kama ni kweli bac ni jambo jema kwa kila mwenye pumzi..
Narudia tena Political reconciliation ndiyo njia pekee ya kujenga taifa imara lenye umoja na nguvu kiuchumi kisiasa na kiutamaduni.
Nchi haiwezi kujengwa na mawazo ya upande mmoja.
Usiende mbio hivyo.Mbinu ya Chadema ni kuionyesha Dunia kwamba Mazungumzo yalishindikana
Wanatumia akili kutafuta kinachotakiwa ambacho wewe na wenzako mngetumia zaidi mabavu na kauli chafu za kutweza utu na kuogopesha raia.Wanafuata nini ikulu kila mara kama sio kupotezeana muda?
Nimekusoma mkuu 'majege'. Hakuna litakalojificha milele hata wakiamua kutosema, mwisho yatatoka tu na tutajua.Chadema mkae macho sana na hawa watu, wanazitaka sana hizi picha za pamoja kwaajili ya kuwarubuni wafadhili, wakati hali halisi uwandani haiko hivyo na matendo yao yamejaa uhuni huni tu. Kama wananchi tunataka baada ya vikao vyenu mnatoka na statement ya pamoja kwa wwatanzania na siyo hizo picha zenu. Pia statement inayotolewa ifanane na matendo yatakayofuata baada ya kikao. Kama vipi achaneni nao hao Ccm nanyi mrudi kwa wananchi kwani walishawaelewa longtime.
Na kama hamjagundua joto la siasa lipo juu sana sasa hivi tena bila hata mikutano ya hadhara, hivyo wanatumia mbinu ya kuwaita na kupiga picha ili kusafiria nyota ya Chadema na kushusha temper ya wananchi. Lakini wanasahau baada tu ya siku mbili tatu unakuta wameshachafua hali ya hewa. Wameshazoea vya kunyonga hao.
Tangu hapo Lipumba ni msaliti kwani ni siri, kufa kwa CUF mpaka kuwa replaced na ACT ni mazao ya usaliti wa Lipumba.Malaika wale, akienda Lipumba Ikulu basi matusi kila kona na kuita wenzao wasaliti..
Akienda mwenyekiti wao, basi burudani kabisa kwao....
Dudumizi lazima unune sana ukimuona Heche Ikulu[emoji1787][emoji1787]
Muachage dharau.