Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Siasa ni process mkuu, hata huko Ukraine kuna watu wanachapwa lakini kuna watu wapo underground kuhakikisha vita inakwisha.
Mandela alikuwa akifuatwa na helicopter kwa siri gerezani na kwenda kuzungumza na De clerk ikulu kwa miaka kadhaa mpaka wakakubaliana.
Msione vitu tu vinatokea, leo uhuru Kenyatta na Odinga damu damu ulitegemea hilo?
Hebu jifunzeni modern politics, radical politics hazilipi.
Mkuu mimi sio muumini wa hivi vikao. Hili sio kosa lako ni langu. Muda utaamua.