Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
-
- #41
Hii nje ya mada mkuuHili suala la COVID - 19 pale bungeni ni danadana tu ilihali Freeman mbowe Aikael anafahamu kinachoendelea. Kama wale wabunge ni haramu ni kwa nini akina mbowe wapokee (kama wanapokea) na kutumia ruzuku haramu inayotokana wa watu haramu wanaovunja ibara ya 78(e) ya Katiba ya JMT?
Hii ipo wazi siku zote na sijawahi kuona katibu anapigiwa kura sehemu yoyote ile. Hivyo haina ubishi.Katibu huwa ni mteuliwa kwa sifa na utendaji wake. Bora mtu mwingine awe easy going lakini katibu awe technocrats.
Mbowe anapaswa kuwa jela kwa udikteta ndani ya chamaKuna mijitu inampa sifa huyu mwenyekiti wa saccos Mr. Faru John asizo stahili kabisa. Saccos imemfia mikononi.
Hiyo nimeichomoa kwenye mjadala Mkuu (scanning).Hii nje ya mada mkuu
Sawa mkuu. Je, unafikiri Mwenyekiti Mheshimiwa Freeman yupo sahihi? Kama yupo sahihi dawa mujarabu ni ipi?Hiyo nimeichomoa kwenye mjadala Mkuu (scanning).
Mmh kama ushaishiwa hoja kiasi hiki ni bora ungejinyamazia, ukasoma tu.Mwenyekiti ndio mfano hai wa wanasiasa wasio na uwezo yaani katumia fursa ya UDJ na akawa mwanasiasa.
Alisikika mlevi mmojaLengo la Mbowe ni kutaka sheria itakayokuwa inaruhusu viti maalumu kwa jinsia zote, yani kwa wanaume na wanawake ili mgombea akiangukia pua ktk uchaguzi kama alivyoanguka yeye, basi aingie bungeni kwa kupitia mgongo wa viti maalumu kama ilivyotokea sasa hivi kwa kina Mdee na genge lake. Kitendo cha kina mdee kupiga hela kupitia vikao na mishahara ya bunge kina muumiza sana kichwa Mbowe na genge lake.
Ya alievunjika mguu kwa konyagi zake na baadae kusingizia wasiojulikana.Alisikika mlevi mmoja
Watoto wa kike sijui mna matatizo ganiMbowe anapaswa kuwa jela kwa udikteta ndani ya chama
Mimi sio mwanamke jiangalie wee jamaa? Unajua ninafanya kazi idara gani?Watoto wa kike sijui mna matatizo gani
Thank youhongera mleta mada unawarudisha kwenye reli.
Mkuu, JF ya siku hizi ina watu wengi na wa kila tabia kwa hiyo ni kuwavumilia tu kwa maana hakuna namna.Uzi mzuri na makini ila kuna watu wameleta ushabiki
Kwani wewe ni mwanamke pia?Watoto wa kike sijui mna matatizo gani
Wewe naye ni mfano bora wa siasa za kijinga za maji taka! Mbowe alikuwa akimiliki club billicanas, lakini hajawai kuwa DJ, pengine hana ufahamu wowote wa u-DJ!Mwenyekiti ndio mfano hai wa wanasiasa wasio na uwezo yaani katumia fursa ya UDJ na akawa mwanasiasa.
Kuna watu wana alergy na jina Mbowe, wakiliona mahali wala hawajishughulishi kusoma content ya habari, wao hukimbilia kumsakama tuRaha ya JamiiForums kuna mazuzu hayajui hata maana ya "MERITOCRACY", ila yatakuja kubisha na kumwaga povu mpaka mishipa ya sehemu za siri iyasimame.
Sihami JF ng'o, ntabakia kuwa member mpaka dakika za majeruhi.
Ni nani amemsakama Mbowe? Mimi nikimsakama Mbowe nitapata faida gani katika maisha yangu?Kuna watu wana alergy na jina Mbowe, wakiliona mahali wala hawajishughulishi kusoma content ya habari, wao hukimbilia kumsakama tu
Mbowe ni mwizi wa ruzuku kama wezi wengine tu wa EPA na ESCROW.Kuna watu wana alergy na jina Mbowe, wakiliona mahali wala hawajishughulishi kusoma content ya habari, wao hukimbilia kumsakama tu
Inawezekana post uliyoweka huku umeandikiwa na hukuisoma kabla ya kupost.Ni nani amemsakama Mbowe? Mimi nikimsakama Mbowe nitapata faida gani katika maisha yangu?
Nimeandikiwa na nani?Inawezekana post uliyoweka huku umeandikiwa