Freeman Mbowe: "Mtu anaweza tu akashangiliwa kwenye majukwaa akapigiwa kura, lakini hakuna meritocracy (uwezo)". Je, dawa mujarabu ni ipi?

Uko sawa Huenda na wewe umemaliza Chuo Flani hapa Tz au nje

Ulisomeshwa chuo cha kuchambana?
Ukimuwazia mbowe utashindwa Kufanya mambo yako
Mbowe atabaki kuwa Mbowe
Na atabaki kuwa Mwenyekiti Bora wa vyama
Mwaka huu hakuna ruzuku Bavicha njaa itawaua tafuteni mambo mengine ya kufanya.
 
Uko sawa Huenda na wewe umemaliza Chuo Flani hapa Tz au nje

Ulisomeshwa chuo cha kuchambana?
Ukimuwazia mbowe utashindwa Kufanya mambo yako
Mbowe atabaki kuwa Mbowe
Na atabaki kuwa Mwenyekiti Bora wa vyama
Mwenyekiti gani mwizi tu yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…