Freeman Mbowe: "Mtu anaweza tu akashangiliwa kwenye majukwaa akapigiwa kura, lakini hakuna meritocracy (uwezo)". Je, dawa mujarabu ni ipi?

Tunapendekeza Rais ajaye awe na haiba kama za mama Samia ili aendeleze ukuaji wa uchumi wa kati.
Wakati wa kipindi cha uchaguzi mwaka jana 2020, siku tatu Rais Samia alikuwa amepumzika nyumbani kwa maana alikuwa na uhakika wa ushindi kwa zaidi ya 95%.
 
Wakati wa kipindi cha uchaguzi mwaka jana 2020, siku tatu Rais Samia alikuwa amepumzika nyumbani kwa maana alikuwa na uhakika wa ushindi kwa zaidi ya 95%.
Anajua kuwa WALIPORA?
Kuna watu leo watakuja kusema SSH ,PM hawajui chochote katika Uporaji ule wa Uchaguzi mkuu na wa /Mitaa
 
Wakati wa kipindi cha uchaguzi mwaka jana 2020, siku tatu Rais Samia alikuwa amepumzika nyumbani kwa maana alikuwa na uhakika wa ushindi kwa zaidi ya 95%.
CCM Wengi ni waadilifu kama Rais Samia. Huyu mama Samia anapaswa kuwa role model ya wanawake wachapakazi hapa Tanzania.
 
CCM Wengi ni waadilifu kama Rais Samia. Huyu mama Samia anapaswa kuwa role model ya wanawake wachapakazi hapa Tanzania.
Waambie hao Chadema kuwa siasa za kihuni zimepitwa na muda na sasa wamuombe msamaha mama yetu Rais Samia.
 
Waambie hao Chadema kuwa siasa za kihuni zimepitwa na muda na sasa wamuombe msamaha mama yetu Rais Samia.
Ambaye angemsumbua Rais Samia kwenye Uchaguzi wa mwaka jana 2020 labda yule mama Merkel wa ujerumani tu.
 
Rais Samia anafanya kazi ya ziada kuhusu ardhi na sasa inarudi kwa Wananchi maana mikoa mingi Wananchi waliteseka sana.
Waambieni hao chadema kuwa Shauri yao kwa maana Rais Samia ni kiboko yao na anakubalika internationally.
 
Kwa Lugha rahisi ntakupa mfano wa anachokimanisha...Chukulia mfano leo hii Babutale anateuliwa kuwa waziri wa Kilimo au Msukuma anateuliwa waziri wa Afya au kibajaji anapewa wizara ya Fedha..sheria ziko wazi kusudi uwe waziri lazima uwe mbunge kwanza...
 
Babu Tale ni kilaza sana aisee sijui hata CCM waliwaza nini mpaka kumpa shavu kubwa na kuwaacha akina Pascal Mayalla.
 
Rais Samia ni mbeba maono Kwa jinsi uchumi wa Tanzania unavyokuwa kwa kasi hadi 2025 tutakuwa tumeipiku south Africa.
Lissu hakuna kituo hata kimoja aliweza kuwa mbele ya Samia na JPM mwaka uchaguzi wa 2020. Kipigo alichopewa October 2020 kilimfanya awachukie Watanzania wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…