Freeman Mbowe ndiye mpigania haki maarufu zaidi barani Afrika kwa sasa

Mkoloni mweusi ni hatari kuliko mzungu maana mweusi atatumia kila mbinu abaki madarakan ili aendelee kula mema ya nchi kwa sababu ametokea ktk familia masikini sana
 
Gaidi faru John utopolo mtupu. Saccos imekongoroka yote, sasa hivi mpo sawa na chauma.
 
Moderator Hukutakiwa kukerwa na heading niliyoweka , nimekuwekea ninachokijua ndani ya uzi kama ushahidi wa Mbowe kuwa juu ya wazee wetu wa zamani , sikutukana wazee wala sikuwakosea heshima yoyote , umeedit na kuondoa uhalisia wa uzi wenyewe ? hukutenda sawa .

Mara nyingi mimi nimeomba kwamba kama uzi ninaoweka unavunja kanuni za jf ufutwe badala ya kuedit kwa vile haufurahishi watu fulani .

TAFITI HUPINGWA KWA TAFITI MPYA
 
Mkuuu umepoteza tu muda wako. Nenda Print tunza room kwako na Pia watumie Wale unaoruka nao kwa mabawa ya rangi moja. Mbowe Ni mtu wa kawaida sana. Labda kama wewe mwenzetu una maana nyingine.
 

Mkuu umechemka. Huwezi kula hela ya Mzungu pembeni ukabaki mzalendo wa kiasi hicho. Wote Sisi Ni binadamu. Weka Hilo moyoni mwako na kuwa makini.
 
Mkuuu umepoteza tu muda wako. Nenda Print tunza room kwako na Pia watumie Wale unaoruka nao kwa mabawa ya rangi moja. Mbowe Ni mtu wa kawaida sana. Labda kama wewe mwenzetu una maana nyingine.
una umri gani ?
 
nyerere kaipigania afrika huwezi mlinganisha na dj
 
Tunaliomba Jeshi la Polisi pia lifuatilie nyenendo za viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wake ambao kimsingi walifurahia sana kitendo cha Gaidi Hamza kuwauwa Askari wetu.
hii inathibitisha kuwa viongozi wa Chadema na baadhi ya wafuasi wao wana kila dalili za kujihusisha na vitendo vya Kigaidi ndio maana walifurahia vitendo vilivyo fanywa na Hamza.
ni muhimu sana wafuatiliwe popote pale walipo ktk kila kona ya nchi hii.
tusowafuge wala kuwalea.
nasisitiza tena Jeshi la Polisi kamwe lisivumilie vitendo vya viongozi wa chadema na baadhi ya wafuasi.
 
Kabisa Mbowe amekuwa shujaa sio wa Tanzania tu bali Africa nzima.
 
Akili hizi za hovyo kabisa, awe ndo maarufu Africa? Labda Africa ya kwenye Saccos hapo kwa baba mkwe.
 
Mbowe sio mtoto yule nimeamini. Kesi yake imevuta attention ndani na nje ya Bara la Afrika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…