Kuna majitu yatakuja kupinga hapa wakati wanashinda kutwa kucha wakimwita babu yao kuwa ni shujaa wa Afrikaacha ujinga
Mbowe ndomwenyekiti bora afrika mudawote anapigania haki bila kutumia mbinu za umwagaji damu ..uvccm bana
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
Kilaza kipya hicho cha kutoka koromitjeJoined 2 /7/2021
Wewe unajua nini bwana mdogo? Hapa siyo fb mlikozoea kucheza mdakoMods huu Uzi upelekeni jukwaa la utani na udaku
Nasikia wengine wamepinduka wapo kwa kairuki wanapigania uhaiHuu uzi utawapandisha mataga kisukari kabisa
Kiswahili ni sheeda sana...Na wewe unangoja kufariki lini; au unafikiri hautafariki?
We endelea kuona hao kina Samia,Zitto,Mbatia na Mbowe wanakupigania maisha yako jinga weweWewe ndiyo mkuu wa hao wapumbavu na wajinga
Mkuu ukinisoma kwa kutulia vizuri utanielewaKichwa cha habari ya mada yako kina walakini.
Jaribu kukirekebisha kama inawezekana...
Naamini wewe ndiye kiongozi wa majinga woote duniani.We endelea kuona hao kina Samia,Zitto,Mbatia na Mbowe wanakupigania maisha yako jinga wewe
Hebu jifunze kuandika kwanza; koromitje ndio wapi huko?Kiswahili ni sheeda sana...
Mtu anangojea kufariki?
Kwani koromitje umetoka lini mjomba?
Ndiyo hiyo hiyo nimemaanisha na wewe unaonekana ni zuzu hujui loloteHebu jifunze kuandika kwanza; koromitje ndio wapi huko?
Wewe ni kilaza uliyekubuhu.Ndiyo hiyo hiyo nimemaanisha na wewe unaonekana ni zuzu hujui lolote
Kilaza alikuwa pale udomWewe ni kilaza uliyekubuhu.
Nasikia lile basi la Lissu sasa litapigwa mnada kule bandarini.Kilaza alikuwa pale udom
Corona inatisha sanaNasikia lile basi la Lissu sasa litapigwa mnada kule bandarini.
Kiroboto wewe.Corona inatisha sana
Kwi Kwi KwiKiroboto wewe.
Mbowe ni mpigania haki mkubwa Africa ni kweli level yake ni ya akina Mandela.Mara inatokea Mbowe anafungwa na anapokuja kutoka anakuwa Raisi kama Chakware na mandera baasa ya kutumikia kifungo kama miaka 30 jela utakuwa ni ushindi mkubwa sana miaka hiyo na CCM itakuwa mwisho kabisa.
Ambapo kwa kadilio la chini atakuwa na miaka 85 kama babu wa taifa.