Mbona Mbowe kwa CHADEMA ni sawa na Kim Jong un kwa Korea's Workers Party. Yaani badala ya kuwa binadamu mnamwabudu kama Mungu.Yaani jiwe na roho mbaya yake, alishindwa kumfanya aunge juhudi, licha ya mateso makubwa aliyomsababishia , bado alisimama imara, leo hii cjui unatoka wapi unajifanya una uchungu sana na CDM?!!TUACHENI TUMEMPENDA WENYEWE, SISI MANDONDOCHA.
😂😂😂Kwani c walianza kampeni eti mwambe anatosha kushika kijiti cha Mbowe 🤣🤣🤣 mwambe yuko wap now
🤣🤣 Yaan ni hopeless kbs, atake asitake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣..wameshasahau walikuwa ktk mipango ya kubadilisha katiba Magufuli atawale mpaka atakapochoka.
Tumshughulikie mapema ili kujenga chama.Subiri uchaguzi mkuu 2024
Nawewe fungua yako ili ukame kama yeyeCCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Kwani CHADEMA wameshafikia awamu ya ngapi?CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
As long as Katiba ya Chadema inaruhusu, let it be. Niliwahi kuuliza...CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu Mwenyekiti Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu
Shida ya MATAGA elimu hamna.CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Kwani msajili wa vyama vya siasa hakuipitia katiba ya CHADEMA kabla ya kukisajili chama?As long as Katiba ya Chadema inaruhusu, let it be. Niliwahi kuuliza...
PElections 2015 - CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!
Wanabodi, Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa...www.jamiiforums.com
Kwa hiyo Mbowe akifa chadema nayo inakufa?Em nyoosheni maelezo...
MATAGA mnatamani apatikane Cdm mwenyekiti asiyejitambua mumnunue kama akina Li-pumb*
Kwani msajili wa vyama vya siasa hakuipitia katiba ya CHADEMA kabla ya kukisajili chama?
Akifa na chama kinakufa?Nakumbuka mlianza kampeni kipind kile eti mwambe anatosha kushika kijiti cha Mbowe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] eventually Mwambe yuko wap? Sometimes ukiangalia ni bora abaki Mbowe coz he's strong and he hasn't price. Over
Zombie la MboweZombie la Magu km umechanganyikiwa vile pole
Eti nini? Kaulize familia ya Chacha Wangwe!Mbowe hateki watu, hapotezi watu, hatukani ovyo, uchaguzi wa chama hazuii wagombea wengine na fomu hatoi moja.
CCM mmekosa hoja.
Ok.. Kumbe Mbowe ni mwana ccm
Hajang'ang'ania anachaguliwa we mburula! Katiba ya chama inaruhusu!CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa