NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Kang'ang'ania na akili za wafuasi wake wote na hataki kuziachia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo faru John, hovyo kabisa. Ila kajikamatia nyumbu zake wa kutosha wenye kumpigia mapambio ya sifa usiku na mchana.CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Kuna nyumbu humu, wanamuona faru John kama mungu mtu vile.Kang'ang'ania na akili za wafuasi wake wote na hataki kuziachia.
Hebu tutolee ungese wako wa lumumba..CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
CCM Imebadilisha wenyeviti wanne wa Chama na bado Chama kiko imara sasa huyu dikteta Mbowe yeye ameking'ang'ania Chama kimekuwa kama kampuni binafsi ya Chadema
Mkapa aliondoka akamuacha, Kikwete alimuacha na Magufuli amemuacha
kwa sasa na Mama Samia atamuacha huyu ni dikteta kamili kabisa
Halafu vyama vya siasa vya nchi hii ndio vinaua dhana ya demokrasia. Halafu unashangaa hawa viongozi wa maisha wa vyama wanakua na ujasiri wa kuhoji kwa nini CCM inang'ang'ania madarakani.
Mbowe Chairman miaka 17, Lipumba 26, Zitto 7, Mbatia 25, Mrema over 20 years.
Vyama vya siasa vionyeshe demokrasia ya kweli kama kweli wanataka demokrasia nchini.
Na ajiandae chanjo ya zeniki inapelekwa bungeni kuwa ondoa hao Covid19 inaingia Zeniki19Covid19 kazini. Nimeshakufahamu ila nakulindia heshima wewe mala.ya wa *******
Zama hizo zinakihusu chama chetu?
Ukipewa wewe uenyekiti, utafanya mambo gani?Hali halisi mnaiona na mnashuhudia kuwa huyu mwenyekiti wetu ni mtu wa kujali biashara zake na sio chama chetu.
Mbaya zaidi amefanya chaka mali yake na hili ni kosa kubwa sana.
Sasa hivi anatambua kuwa hatuko vizuri kisiasa lakini amejificha Dubai.
Tupambane makamanda, tumuondoe madarakani, tupate mwenyekiti ambae atakuwa na nia njema na chama chetu. Sio kutugeuza sisi ndondocha.
La sivyo tutaambulia patupu.
Acha upuuzi kuwa seriousWewe kuna over time huku shifts za kulinda legacy, achana na Mbowe.
Jiheshimu ndugu.Hamia kwa lipumba au kwa zito hao ndio wanafiki wanakutosha tuache na dikteta wetu mwamba mbowe!!!
Nitahakikisha chama kinakuwa mali ya umma. Na kuhakikisha kinajijenga kwa wananchi you are getting the true point?Ukipewa wewe uenyekiti, utafanya mambo gani?
Tunaweza kuwa wapuuzi wawili auAcha upuuzi kuwa serious
Wewe dada kama unadhani kila mtu ni mpuuzi funga hayao mananii yako.Tunaweza kuwa wapuuzi wawili au