Freeman Mbowe: Nimetolewa gerezani kwasababu nguvu ya umma ilikuwa imezidi nguvu ya vyombo vyao vya dola

Nimeacha kuwaamini wanasiasa kutokana na kauli hizi na matendo haya. Naona Mbowe anafurahia kuwa kiongozi wa upinzani katika taifa la wadanganywa nyika (watanganyika). Maana ni rahisi kuongea lolote na wadanganywa nyika wakamuamini. Ukute baada ya kuongea hivi, kaampigia mama simu akwambia "mama tafadhali usinielewe vibaya, hii ni katika hali ya kutuliza mizuka ya misukule yangu". Mama nae: "haya sawa mdogo wang, najua hii ndio siasa"



 
Mawazo mengine huenda yanaathiriwa na jina, ninavyojua yupo mdudu anaitwa dumuzi huyu ni mharibufu kama alivyo kiwavi/viwavi Sasa huu ni ushauri wa Bure ukiweza libadili kutika dudumizu. Nikotayari kwa ridhaa yako kukupapendekezo.
 
Kuwasamehe tu wanasiasa ni kuwakosea pia hata wale ambao sio wanasiasa na wapo magereza bila kuwa na hiyo nguvu ya umma anayosema Mbowe.
Hii Tafsiri ya Neno "MSAMAHA" Hamlitendei Haqi! [emoji45]
 
Mawazo mengine huenda yanaathiriwa na jina, ninavyojua yupo mdudu anaitwa dumuzi huyu ni mharibufu kama alivyo kiwavi/viwavi Sasa huu ni ushauri wa Bure ukiweza libadili kutika dudumizu. Nikotayari kwa ridhaa yako kukupapendekezo.
Inashangaza kuona baadhi ya vijana mmeuza utu wenu kwa sababu ya njaa zenu.. we endelea kuwa miongoni mwa wasafisha choo wa Mbowe.
 
Mwenyekiti anatakiwa asitusahau na sisi kwenye mitandao ya kijamii;kimahususi jamiiforums ,ambao tulitumia kama Platform kupaza sauti zetu,baada ya media zingine;magazeti na TV kuhodhiwa na pro-serikali ya CCM!
 
Inashangaza kuona baadhi ya vijana mmeuza utu wenu kwa sababu ya njaa zenu.. we endelea kuwa miongoni mwa wasafisha choo wa Mbowe.
Jina basi hata Panzi,jongoo, kipepeo kama hujaridhika na mojawapo nitaingeza mengine
 
Umma una nguvu tangu lini? Hata kuandamana wanaogopa.

Kwa akili yako nguvu ya umma ni mpaka kuandamana, na kuwapa ujiko policcm wa kuwapiga watu hovyo mtaani siyo!

Kazi iliyofanyika kwenye mitandao unadhani ilikuwa ndogo eeeh!
 
Kwa akili yako nguvu ya umma ni mpaka kuandamana, na kuwapa ujiko policcm wa kuwapiga watu hovyo mtaani siyo!

Kazi iliyofanyika kwenye mitandao unadhani ilikuwa ndogo eeeh!
Kama umma unaogopa polisi umma hauna nguvu, yenye nguvu ni serikali.

"When government fears the people, there is liberty. When the people fear the government, there is tyranny." - Thomas Jefferson
 
Mwenyekiti anatakiwa asitusahau na sisi kwenye mitandao ya kijamii;kimahususi jamiiforums ,ambao tulitumia kama Platform kupaza sauti zetu,baada ya media zingine;magazeti na TV kuhodhiwa na pro-serikali ya CCM!
Usipoenda katika ofisi za chama kuonesha ulichokuwa unaandika basi utasahaulika kweli. Wenzako hii ndio ajira yao. Kila wanapotoa thread ya kuiponda serikali au kusifia upinzani hulipwa kulingana na muitikio wa thread husika, kuna wengine huwa wanatumiwa mpaka data za kuandika upupu humu jukwaani. Sasa wewe bendera fuata upepo kalaga baho.
 
F Fala wewe
 
Kwa akili yako nguvu ya umma ni mpaka kuandamana, na kuwapa ujiko policcm wa kuwapiga watu hovyo mtaani siyo!

Kazi iliyofanyika kwenye mitandao unadhani ilikuwa ndogo eeeh!
Na asichokijua wanachokitapika watu mitandaoni ni halisi na siku ikifika kuwa wamechoshwa na ujinga, uonevu na manyanyaso wataamua kuwafuata wahuni wote kwenye mapango waliyojificha na kuwanyofoa mmoja baada ya meingine na kuwakusanya pamoja huku wakiwaza adhabu wanayostahiki Ushauri was Bure msijitoe akili kwa kiwango hicho. 🤔
 
N
Nakuona member wa SukumaGang ,kiroboto katika ubora wako.Naamini hata "Wahuni" hawapo na wewe😂😂😂
 
Usiwafsnanishe wengine na zile b7 za mtaa wakijani Tena ukome walarushua nyie, Tena mnatafuna makusanyo ya mlalahoi⛹️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…