kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Siasa tunazichukulia serious sana sie akina "kalikonji" ila wao hyo ni biashara kama biashara zingine.
Mbowe, kikwete na Zitto ni marafiki sana, wanakula bata sio mchezo, wala hawana njaa kama zetu.
Kama kuna mtu anaamini eti CCM na Upinzani sijui CHADEMA, ACT, NK wapo kwa ajili yao.. huyo mtu atakua hamnazo na hajui lolote kuhusu siasa za nchi hii ya Tanzagiza.
Mbowe, kikwete na Zitto ni marafiki sana, wanakula bata sio mchezo, wala hawana njaa kama zetu.
Kama kuna mtu anaamini eti CCM na Upinzani sijui CHADEMA, ACT, NK wapo kwa ajili yao.. huyo mtu atakua hamnazo na hajui lolote kuhusu siasa za nchi hii ya Tanzagiza.