Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Freeman Mbowe: Rais Samia Suluhu anateswa na kivuli cha Magufuli

Hiyo kauli inawafariji maccm

Rais samia hawezi kuwa na tabia za kibedhuli kama yule JiZi la kura
Ila anakosea anaposema ni kitu kimoja na mwenda zake, anatuacha na maswali na kufanya tusisimuke mwili, kwamba yu kitu kimoja na ni sawasawa na mwendazake??????,kaisha tuchanganya KWA msisitizo wa kauli yake hii
 
Nyumbu babaako na mamaako ZWAZWA WEWE!
Nyumbu bwana! Kwa hiyo mnategemea rais wa ccm siku moja atawapa katiba mpya na hiyo tume huru. Hamkuona nguvu ya ccm pale yule mzee wa Msoga alipokaribia kuwapa katiba mpya!

Acha mwenyekiti wenu wa kudumu aendelee kuwayumbisha.
 
Ni kweli hii biashara ya kumtaja taja marehemu kama ndio standard anazingua

Maamuzi anaweza fanya bia kuangalia huyo alikuaje,kwani kuwawajibisha wazembe inahitaji kuwa kama Magu?

Na atateseka Sana yaani awapuuze wanaosema huko mitandaoni na afanye Kazi yake kwa utashi wake
 
Ila Mama Samia bado anaonyesha lots of weak points

1. Kwenda Bungeni na kukiri kwamba anasoma sana propaganda na matango pori ya social media ni udhaifu

2. Kurudiarudia kauli kwamba yeye ni mwanamke ila watu wasiwe na hofu na uwezo wake kwa kuwa amekulia kwenye mazingira bora ni uzwazwa

3. Hakukuwa na haja ya “kukiri udhaifu” kwamba vyombo vya dola haviwezi kuwapata wanaoprapagate uzushi. Kwanza kwanini ujishughulishe na watu hata usiowajua?

Body language ya viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama haionyeshi kabisa kama Mama anacommand genuine respect
Social media haziepukiki labda kama huishi dunia hii.

Hata kama mtu anajifanya hana account kama kina Majaliwa lazima tu utajua ni nini watu wanaongea huku.

Labda uhame duniani
 
There are some traces of truth in Mbowe's post in Twitter. We need to heal as a nation from pain inflicted to our people the past regime knowingly or otherwise.

If there were evils directed against opposition parties, let us repent the sin. If the opposition did something wrong to the government let also concede our wrong approaches.

In other words, Let us all concede our bad actions for the sake of healing the nation regardless of our space in society.

To me CCM or CHADEMA or any other political party is not important, but, my priority remains our peace, love, unity and tranquillity.

Without fear of contradiction let us uproot all things that we feel are not healthy for the unity of our people. Let us reconcile, forgive each other. Let us open a new chapter decorated by love and understanding.

Let us avoid corruption. Let us pay taxes accordingly.

Let us demand better social services once we are satisfied that we are good tax payers.

Lastly let us engage our leaders honourably to fulfil their duties.

Asante!
 
Kwanini baadhi ya wanasiasa wanapenda rais ajipambanue wa tofauti na utawala wa hayati wakati yeye alikuwa msaidizi wake wa karibu? Mnataka mumgombanishe na chama chake na aonekane alikuwa mnafiki? Kwa kiongozi mwenye kusoma siasa ya sasa hawezi kufanya mnavyofikiria, kwani kufanya hivyo ni kuivuruga nchi na kuleta mgawanyiko. Hata Kama Kuna mabadiliko basi atayafanya lakini si kwa kumchafua mtangulizi wake. Mtego mnaotaka kumuingiza hata mtu asiye na maarifa anauona
 
Hawa wanasiasa wawili wanaokuwa na tabia ya kujinasibu kuwa wao mabingwa wa uzandiki wa siasa za hapa Tanzania mbona wako Kimya?

Au ndio wanaunga juhudi kimyakimya maana tumeshuhudia miaka mitano chini ya hayati JPM wakiburuzwa na kugarazwa kama kambale kwenye matope.
Ukiwa kwenye heat una shida sana wewe dada
 
Sasa Mkuu ikiwa Mama anasema anafuata nyayo za Magufuli aliyekimbiza wawekezaji lakini wakati huohuo anataka kurudisha imani ya wawekezaje wewe unaelewa nini ?
Hizo ni kauli za kisiasa tu kuwapoza wapenzi wa magufuli kumbuka magufuli ana familia kubwa ndugu jamaa na marafiki ambaoa kwa namna moja ama ingine ukianza kumponda unaweza ukaleta shida isiyo ya lazma.

Hivyo mama yupo na magufuli kimaneno ili kuleta picha nzuri kitaifa.

Yupo na watanzania kimatendo
 
Hii siyo kauli ya kuanza upya, labda iwe siyo kauli ya Mbowe. Yeye alisema amemwandikia Samia barua wakutane, Samia kakubali sasa kabla hawajakutana anawezaje kuongea utafikiri Samia kakataa mawazo yao? No!
Anamwandikia barua waonane ye km nani sasa?
 
Kwanini baadhi ya wanasiasa wanapenda rais ajipambanue wa tofauti na utawala wa hayati wakati yeye alikuwa msaidizi wake wa karibu? Mnataka mumgombanishe na chama chake na aonekane alikuwa mnafiki? Kwa kiongozi mwenye kusoma siasa ya sasa hawezi kufanya mnavyofikiria, kwani kufanya hivyo ni kuivuruga nchi na kuleta mgawanyiko. Hata Kama Kuna mabadiliko basi atayafanya lakini si kwa kumchafua mtangulizi wake. Mtego mnaotaka kumuingiza hata mtu asiye na maarifa anauona
Wanataka avuruge nchi wapate pakusimamia mana sasaivi hawajui watoke vipi.

Yale makofi ya kimbunga jana yalikuwa hayapigwi tu kipumbavu. Yalikuwa yana ujumbe mzito ndaniyake, wenye akili wanajua. Makofi yame wavuruga sana nyumbu maana yametuma ujumbe live kwa kilamtu kwamba watanzania wanatakanini.
 
Mbowe una akili kubwa sana.

Huyu Mheshimiwa hajasema kitu bado. Pengine ilikuwa hotuba ya bunge, sie watanganyika tunangojea yetu yenye neno .....samahani..
 
Back
Top Bottom