Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu ninashauri wajikite zaidi kwenye ile movement yao ya CHADEMA Ni msingi..na hongera sana kamanda Mbowe..ujitahidi sasa kwenye huu uongozi wako wa miaka mingine mitano ukiachie chama ofisi za kisasa za kitaifa mpaka wilaya..hapo utakuwa umeacha alama na ninashauri makao mkuu ya chama jengeni Dodoma na ukumbi Mkubwa wa mikutano...kila la kheriHongera zao sana; jukumu lao kubwa ni kuijenga CHADEMA.
Hili limedhihirisha kweli Mh Freeman Aikaeli Mbowe anastahili ile PhD ya ubingwa wa siasa iliyo tamkwa bungeni nashauri atunukiwe kwani kadhihirisha kuna kiongozi mkubwa mwenye uwezo mkubwa mwenye majeshi na amri aliapa atahakikisha CHADEMA ina RIP kweli Mungu hadhihakiwi sijui wapambe nuksi wayakuja na lipi Dr Mbowe alipo omba maridhiano hawakumuelewa sasa aibu yao Maendeleo hayana chama Mungu ibariki TzHii inaitwa Usiyemtaka Kaja.
Hahahaaaaa .......Mungu wa Israel ni Mugu wa Ajabu sana.
Kwenda we mnafikiHongera zao sana; jukumu lao kubwa ni kuijenga CHADEMA.
Bado, ndio anakwenda kupigiwa kura, definitely he will survive the vote because the senate has Republicans majority!
Hawa viongozi wanaenda kubomoa chadema na chadema inaenda kuwafia mikononi mwao mark my wordsHongera zao sana; jukumu lao kubwa ni kuijenga CHADEMA.
TBC ,ITV wananijikosesha credibility kwa ujinga tu. Wakidhani wanambeba marehemu CCMUkiweza rusha video clip ya hotuba za wagombea kujinadi.. peleka na kule M4C whatsapp group
Tangaza yako ya halali kutoka lumumbaUchaguzi haukuwa huru na haki. Hata boksi la kura lenyewe lina mtundu matundu,
Hii nayo ni Breaking News kweli?? Watz walikuwa wanajua tu huyo Mwenyekiti wa Kudumu atapita. Wala hakuna cha ajabu mkuu!
We Sikh zote unawaza kufa tu. Shetani bana yeye kuharibu tuHiyo timu inaenda UA chadema kwa kishindo
Kwani mbona magufuli amekimbia jiji ili akasikilizie matokeo chato,Hii sio breaking news. Ilitarajiwa lazima ashinde. Hakuna Cha kuishangilia hapo.
We Sikh zote unawaza kufa tu. Shetani bana yeye kuharibu tu
Wakati Saccos ya Chadema mwisho wake ni 2020!!
Huyo jamaa anayesema Trump ameliwa, ametoa wapi habari ?, au ndio mambo ya kahawa hayo ?Bado, ndio anakwenda kupigiwa kura, definitely he will survive the vote because the senate has Republicans majority!
Tundu Lisu aliombaje Kura? kwa Barua au Video Conference?