January 2020 bado siku 11 tu, sijui Magufuli atasemaje kubusu Upinzani, katumia pesa za wananchi kuwanunua akashindwa, katumia ile mbinu nyingine ya kumtanguliza mtu mbele ya haki akidhani wote wataogopa akafeliHili limedhihirisha kweli Mh Freeman Aikaeli Mbowe anastahili ile PhD ya ubingwa wa siasa iliyo tamkwa bungeni nashauri atunukiwe kwani kadhihirisha kuna kiongozi mkubwa mwenye uwezo mkubwa mwenye majeshi na amri aliapa atahakikisha CHADEMA ina RIP kweli Mungu hadhihakiwi sijui wapambe nuksi wayakuja na lipi Dr Mbowe alipo omba maridhiano hawakumuelewa sasa aibu yao Maendeleo hayana chama Mungu ibariki Tz