Freeman Mbowe, Said Issa na Tundu Lissu, washinda kwa kishindo Uchaguzi Mkuu CHADEMA

Hivi Tundu Lissu kura ya ndiyo au hapana amepigiwa,maana naona yuko peke yake
 
Hata Mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu ni mpango wa mungu...

Yes you right
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hauwezi kuandika kwa kiswahili ? Kwanini uandike kwa lugha ambayo huijui ?
This is silly (sorry to use such a word).

Mtu akigombea nafasi dhidi ya kiongozi mwenzake ni usaliti? Where is the democracy in your party? Ujinga ni kuendelea kuwa na mwanachama mnayeamini alipandikizwa na chama kingine.
This is pathetic.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…