Zilikuwa kwenye akaunti ya hukohuko Dubai, uliza swali jingine. Mbowe sio mwenzio ile ni level nyingineMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Wewe ndio mke wake nini?Zilikuwa kwenye akaunti ya hukohuko Dubai, uliza swali jingine. Mbowe sio mwenzio ile ni level nyingine
Nasikikika kukwambia kuwa JIWE ameshafariki ,na Bashite mume wako anauza samakiKama hakufata sheria..alitaka iweje!!! Kama alifata aende mahakamani..
Ila nawashangaa wengi.. maneno mengi kama vile uongozi wote umebadilika ukaja mpya kutoka sijui safari ipi.. na sheria za nchi zimekutwa..
Waendelee tu kuongea...........
Akisema bila aibu atake asitake tutamuongezea, akamuongezee huko kaburini ***** zakeNdugai ana UKIMWI na KISUKARI kwa hiyo hata Ubongo wake umeshabomoka,Eti yalikuwa yanajadili kumwongezea muda Magufuli,kiko wapi? MUNGU mkubwa sana
Cowards wote hawa...Kakika Magufuli atabaki kuwa shujaa, haya yalitokea 2018 laikini yanasemwa leo baada ya kuwa marehemu.
Magufuli utabaki kuwa mwamba wa Africa.
Kama ni cash je au alijiongeza akafungua kwa jina lingine?Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Mataga atafunguaje ubongo? Umezikwa Chato ubongo wakeKifupi sana,
Mbowe ni Mfanyabiashara zaidi ya miaka 30, anakwenda nje na kurudi. Unategemea mtu kama huyo asiwe na biashara nje? Fungua ubongo hata kidogo.
Huu hapa Wewe unauona ni uwezo mkubwa wa kupambanua mambo?! Unajiona Una akili kubwa sana?!Hii ni wazi kuwa huyu mtu yupo kimaslahi zaidi, na hayupo kwa ajili ya wananchi. Anatumia siasa kutakatisha mambo yake yakae sawa. Yupo kwa ajili ya kuweka biashara zake sawa.Mtaji wake mkubwa ni wafuasi wa Chadema wasio na uwezo mkubwa wa kupambanua mamboView attachment 1749432
Amrehemu au amkandamizeMungu amrehemu kwa hyo roho yake
Anamchukulia Mbowe masikini mwenzie hamjui tuuu muwe nauliza basi nyie kitoto vya 95Unadhani ana akaunti hapa tu kama VICOBA?
Hata kama sio mtanzania, mpaka sasa watu wanaofahamika kwa roho mbaya ni wachina lkn sidhani kama wamefikia level ile.Pengine kweli hakuwa mtanzania yule mzee. Huu ukatili kwa binadamu wenzake ni mkubwa sana.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wewe kilaza unaejiita Hakimu Mfawidhi.Sikiliza maelezo yake mwenyewe anasema baada ya kufungiwa ndio akaamua kwenda Dubai kuanzisha biashara, hakusema kama alikua na biashara huko.
Tumeambiwa 2 b kwa mwaka tofaut na thamani ya mtaji mbona wafanyabiashara wengi tuu walikimbia na Mama Samia kamwagiza mwigulu ilo likomeMbona hajasema alitakiwa kulipa kiasi gani na ni malimbikizo ya miaka mingapi akijumlisha na faini zake!!
Asilielie ka mtoto,. Malalamiko yake yaende sambamba na uhalisia kudaiwa madeni yake halisi, ni bei gani alitakiwa kulipa TRA?
Hawa wafanyabiashara wakubwa wana account zingine nchi za nje kama Switzerland n.k,Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Unafikiri mbowe masikini kama wazazi wako uko usukumaniMbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
Acha ufalla basi?Mbowe ni muongo.
Mbowe anasema alifungiwa akaunti zote lakini akaamua kwenda kufanya Biashara Dubai, hizo hela za kwenda kuanzisha biashara Dubai zilikua akaunti gani kama akaunti zake zote TRA walifungia?
😅😅😅😅😅fungua kesi mkuu utalipwaNingeyajua mapema haya mambo. Wala nisingemlilia ile siku ya kuaga mwili wa katili. Natamani kudai fidia ya machozi yangu yaliyotoka isivyostahiki.
Halafu ma CAG wote wawili jamaa wanahangaika sanaNa CAG pia ni muongo?
Imebaki story tuFala utakuwa wewe pamoja na ukoo wako mzima, kama alikuwa hataki kulipa kodi kwanini asishughulikiwe, Magufuli alikuwa mwamba kwelikweli ndiyo mafisadi yote yalihama nchi.
Wewe ni fala tena fala mkubwa .