Fremu zinazojengwa hapa eneo la Jeshi Lugalo hadi njiapanda ya Kawe zitapangishwa raia au kwa askari tu?

Fremu zinazojengwa hapa eneo la Jeshi Lugalo hadi njiapanda ya Kawe zitapangishwa raia au kwa askari tu?

Niliposikia tu sababu ya kupelekea Ujenzi huo jinsi ilivyo ya Kipuuzi ( kutokana na Unyeti wa hiyo Kambi ) kwa Tanzania nzima ni kwamba nchi yetu sasa iko Uchi kabisa kwa Maadui na ipo Siku Tanzania itakuwa Mali ya Taifa lingine.
Mkuu ni hatari mno
 
Pale hakuan biashar tlyoyote pale location ya hizo biashar pale uwezi kupata mteja Kwanza Ni eneo ambalo liko high way ya kwenda bgmy
Na vituo vya daladala kwa pale viko mbali balaa labda kwa watakao chukua kule kona ya kawe angalau angalau
 
Ila ile design aisee hapa, frame zimekaa kama nyoka, bora wangeweka mall kubwa pale,
Afu parking hamna, mtu atembee umbali mrefu kufuata bidhaa
Na huenda hata Vitani pia wakatumia Akili hiyo hiyo Mbovu uliyoiona katika huo Ujenzi wa Kishamba na wa Kienyeji wa hizo Fremu.

Tuna Kikosi kizuri sana cha Ujenzi cha kutoka JKT na Kimejenga Nyumba nyingi na Majengo mengi na Makubwa ya Serikali ( na hata Ikulu ya Dodoma wanajenga Wao ) ilishindikana nini kupewa Kazi ya Kuzijenga Kiustadi na Kiufundi hizo Fremu na wakaachiwa Wapangaji wenyewe wawatafute Mafundi wa Mitaani Kawe akina Mzee Ali na Mzee Mlokole na wengine wa Kuokoteza okoteza ndiyo Wazijenge?

Akina GENTAMYCINE tukiwasema mnatuchukia na hata kutamani tusiwepo duniani wakati kumbe tinawakosoeni ili mjitathmini, mbadilike na muache kuwa Mapopoma kwa kufanya Mambo Kienyeji enyeji mpaka tunachekwa na Kudharaulika na Wageni walioko hapa Tanzania.
 
Kuna mtu aliwahi ni introduce kwenye huo mchongo! Ilikuwa ni lazma utafte mwanajeshi mmoja uingie nae mkataba wa ujenzi ujenge fremu zako ila zinakuwa chini yake kimkataba kisha utafanyia biashara kibingwa. Nilichomoaga hio nikaona ufala
Kumbee
 
Hakuna hata picha na kila siku mnapita hapo
 
Kama tu Akili za Kujenga vyema hizo Fremu ( mpaka zingine zimepinda, zingine fupi na zingine zimeshaweka Ufa ) wamekosa je, unadhani Akili za Kupambana na Majeshi HATARI na Mahiri kwa sasa Afrika Mashariki kama ya Rwanda na Uganda watakuwa nayo na wataweza?
UNALIDHARAU JESHI LA TANZANIA LINALOKULINDA, BASI RUDI KWENU MKIMBIZI WEWE, YOU DAYS ARE NUMBERED
 
Ila ile design aisee hapa, frame zimekaa kama nyoka, bora wangeweka mall kubwa pale,
Afu parking hamna, mtu atembee umbali mrefu kufuata bidhaa
Ishu ni mazingira palivyo maana hamna hata kituo cha daladala maeneo yale
 
Kuna nyama fulani ipo kule sikumbuki vizuri ni kitimoto au mbuzi tabu ukilewa na ukaanza vurugu sijui inakuwaje itakuwa kama unampapasa simba jike wakati ananjaa kwa kumbembeleza atulie chakula kinakuja.
Ile bucha kongwe ya kitimoto
Iko karibia na makongo shule
Dah bucha kongwe Ile

Ova
 
UNALIDHARAU JESHI LA TANZANIA LINALOKULINDA, BASI RUDI KWENU MKIMBIZI WEWE, YOU DAYS ARE NUMBERED
Ameongea kitu cha kweli kabisa.

Hivi unajua hapo Frem zilipohengwa vikwazo vimeondolewa ndo zikawekwa hizo frem
 
Back
Top Bottom