Compressor inaweza kuwa imefeli, sina nia ya kupigia debe kampuni ila fridge za lg na samsung zenye linear compressors hazina matatizo hayo. Nyingi pia huna haja ya kutumia fridge guard.Nina fridges mbili zinatatizo Kama lako....nilileta fundi akaniambia tununue kifaa elfu 30k moja ikatulia, baadae likarudia tatizo.
Baadae nikapata mafundi wengine wakaomba 50k zikakaa sawa, ndani ya siku kadhaa, matatizo yakawa mengi. Fridge moja ni mtumba lingnie nilichana mwenye kwa boz brand Boss.....
Mtoa mada, tatizo lako ni kama langu, labda utafute mafundi wazoefu wanaweza kukusaidia....
Sasa kama ubaridi unapatikana shida ipo wapiUbaridi unapatikana mkuu.
Natumia lg iliyo na compressor mwaka wa 5 huu sasa, zipo imara sana.Compressor inaweza kuwa imefeli,sina nia ya kupigia debe kampuni ila fridge za lg na samsung zenye linear compressors hazina matatizo hayo. Nyingi pia huna haja ya kutumia fridge guard.
Kuna fundi aliniambia kuhusu Compressor ila gharama nikaona iko juu, so njia ya mwisho niliyobaki nayo nikubadili hizo compressorCompressor inaweza kuwa imefeli,sina nia ya kupigia debe kampuni ila fridge za lg na samsung zenye linear compressors hazina matatizo hayo. Nyingi pia huna haja ya kutumia fridge guard.
Lina shidaLa kwangu upande wa Fridge halina ubarid kabisa,ila upande wa Frizer kule juu liko poa kabisa..ni takribani wiki sasa. Kama kuna fundi anisaidie changamoto ni nini.
Time range ilinipa shaka, awali haikuwa hivyo. Nimeamua kulizima kabisa nitaliwasha baada ya ubaridi kuisha nione shida ni nini? Nimechukuwa maamuzi haya baada ya kusoma comments kadhaa
Rule out hiyo ya gesi kuwa ndogo, gesi ikiwa kidogo cimpressior halizimi kabisa maana thermostat inakuwa haibani.. likizima, gusa compressor kwa mkono, kama ina joto kiasi cha kuondoa mkono ndani ya sekunde chini ya 5
1. gesi ndogo
2. capillary tube mbaya
3. compressor yenyewe mbaya
Nakaribia kumaliza 10 years warranty ya compressor.Natumia lg iliyo na compressor mwaka wa 5 huu sasa,zipo imara sana
Nawee ni mtumiaji wa Hisense?.Langu ni Hisense
Sina guard
Huko dukani waliniambiaga hayo yana guard ndani kwa ndani.
Niko safe wakuu?
Naliwasha muda karibu wote.. nazima siku ya kulisafisha
Basi tu bei zao zimechangamka ila LG ni brand nyie, sio fridge tu hata tv.Compressor inaweza kuwa imefeli,sina nia ya kupigia debe kampuni ila fridge za lg na samsung zenye linear compressors hazina matatizo hayo. Nyingi pia huna haja ya kutumia fridge guard.
Ndiyo hiyo hiyo piaNakaribia kumaliza 10 years warranty ya compressor
Linear inverted compressor zinakuja na 10 year warranty
Hujaeleweka unamaanisha niniHuna Hela Mbwaa wee, unawasha friji 24 hrs alafu unajaza Machungwa, ndizi.
Unategemea lisiharibike 🤣🤣
Ukipiga hesabu vizuri ni bora kununua ghali.Basi tu bei zao zimechangamka ila LG ni brand nyie, sio fridge tu hata tv.
Ukipiga hesabu vizuri , ni bora kununua ghali
Wakati nanunua 2013 nilinunua lg kwa 1.1 mil, brand nyingine zilikuwa kwenye 600000, huu unaenda mwaka wa 10 haijawahi sumbua chochote, na ninzile non frost, mwaka 2016 nikanunua deepfreezer ya kichina, halikuakaa miaka 4 , written off
Kizuri gharama mamaaKweli kabisa.....Bi mkubwa ana friji la LG alinunua 2012, Hadi Leo Haina shida yoyote, naikubali sana hii brand, tatizo bei[emoji1787]