lita 143? Anyway hayakuhusu hata liwe lita 1Nawee ni mtumiaji wa Hisense ?.
Unakuta ni kale kadogooooo hata Dumu la maji ya uhai la Lita sita, haliingiii🤣🤣🤣
We na Carlos Leo mnanivunja mbavu tu🤣🤣🤣lita 143? Anyway hayakuhusu hata liwe lita 1
HeheeeWeeee langu Mimi?. Hahaha hili nilivyolijaza , utaanzaje kutoka Nje kuzurula Kwa mfano?.
Hapa ukiingia Leo kwangu, utajikuta Unaacha chupi, kesho Gauni, kesho yake unakuja na Begi kabisa🤣🤣
Carlos amezoea vitoto vya shuleHeheee
Huyo mtoto mkorofi sana 😂😂😂We na Carlos Leo mnanivunja mbavu tu🤣🤣🤣
Mamaaa kulaaa ,yaan ukipata Hela kulaaa misosi ..Kifo chajaa🤣🤣🤣We na Carlos Leo mnanivunja mbavu tu🤣🤣🤣
Sio unajengaa majumbaa tuuu alafu UNAKUFA unayaacha🤣🤣We na Carlos Leo mnanivunja mbavu tu🤣🤣🤣
Alaaaaa chezea CarlosHeheee
Embuuu niachee Huku hapa nawaza kula mbususu tuu baadaeHuyo mtoto mkorofi sana 😂😂😂
mbwa mwenyewe kwanza 🤣Weeee kitu la Hisense Inch 63 , linaanzia Mliman City mpaka Charambe 🤣🤣
View attachment 2540575
Unajaziwa frijiiii , alafu na LiTV hiloo ...
Nangoja niongezee na DSTV Mbwa Nyinyi , mtanikomaa 🤣🤣🤣
Ushetani tu umekujaaEmbuuu niachee Huku hapa nawaza kula mbususu tuu baadae
😂😂😂😂Sio unajengaa majumbaa tuuu alafu UNAKUFA unayaacha🤣🤣
Nikifikiria friji langu hapa lilivyojaa maji tu, 🤣🤣🤣🤣🤣Mamaaa kulaaa ,yaan ukipata Hela kulaaa misosi ..Kifo chajaa🤣🤣🤣
Hahahaha Mbwaa kweli weeee , hiyo nimepigaa nikascreen ,kuiedit kidogooo ,vionekane vilivyokusudiwa.mbwa mwenyewe kwanza 🤣
Af mbona picha ni screenshot? Umeiba wapi??
Na mdundo wako wa Alitop
Mchina toleo la mwisno 😂😂😂
😂😂😂 umejaza maji na juice ya machungwaNikifikiria friji langu hapa lilivyojaa maji tu, 🤣🤣🤣🤣🤣
Yaan hiii mechi ilikua ipigwe saa nne Asubuh, nmeisogeza mpaka saa kumi 🤣🤣🤣Ushetani tu umekujaa
Na jua kali lote hili
Nyieeeeee hali ngumu 🤣🤣🤣🤣 huku Luku nayo inakupigia alarm tuuuu tuuuuuu tuuuuu tuuuuuuuNikifikiria friji langu hapa lilivyojaa maji tu, 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣 Akijitahidi sana kajaza Maharage, alochemsha juzi kilo mbili nzima kajaza 🤣🤣😂😂😂 umejaza maji na juice ya machungwa
😂😂😂 nna alej na magariHahahaha Mbwaa kweli weeee , hiyo nimepigaa nikascreen ,kuiedit kidogooo ,vionekane vilivyokusudiwa.
Unadhan mie kama wee wa kuazima na kupiga picha kwenye magari ya watu alafu unatamba ,🤣🤣🤣
Jamaniiiii 😂😂😂🤣🤣 Akijitahidi sana kajaza Maharage, alochemsha juzi kilo mbili nzima kajaza 🤣🤣