Alez von lumor
JF-Expert Member
- Nov 4, 2023
- 516
- 1,474
Huelewi au unataka nitumie lugha gani we topolo..... na mkeka wangu unatikiunaota wewe kolo....we kafanye yako acha kumchungulia mmeo sisi tushapita wewe je!?
Hapo kuna mmoja ndio kaingia kwa mara ya kwanza, na mwingine ni mwana robo fainali mzoefu.Wanarobo fainali ndiyo wanacheza.
Acha ashikishwe adabu hajavaa msuli huko?Baca ni nima aisee
haitudhuru hiiLeo utoo wanakula 3
tafakar kesho unavukaje kwend robo fainaliWanapelekewa [emoji91] Utopia
Alafu anacheza robo fainaliLeo utoo wanakula 3
Mnafuga majini?Jini letu lingine hilo, Djigui Diarra.
Mtani funga huko nizungushe ngano hapa mezani chap
Ila ni wanarobo fainaliHapo kuna mmoja ndio kaingia kwa mara ya kwanza, na mwingine ni mwana robo fainali mzoefu.
Hii ni kulingana maelezo ya kumbukumbu za CAF wenyewe.
Mimi ni nani hadi nipingane na Mayele?Mnafuga majini?