EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
hii n robo fainali acha kelele wew hujafika ata roboPiga hao vyura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii n robo fainali acha kelele wew hujafika ata roboPiga hao vyura
Wivu unakutesa.Piga hao vyura
Robo tushaingiatafakar kesho unavukaje kwend robo fainali
Tumulize mzee majuto(r.i.p) aliwaza nini kuhusu hili jina la inye gwede gwedeguede anafanya nini ndani hadi sasa
Wacha weeNina imani na Yanga 💚💚💛💪!
Amina
hata siku moja kanji hajawahi kuliwa pesa yake, tupo hapa mpaka mwisho wa mechi utaniambia tenaHuelewi au unataka nitumie lugha gani we topolo..... na mkeka wangu unatiki
Mna mchecheto sana wa robofainali, kiasi kwamba mechi ya makundi mnaiita robo fainali?hii n robo fainali acha kelele wew hujafika ata robo
😂😂😂Haha mzee baba vipi si mmepita robo fainali au
Subiri uone tena nimempa alhy direct win kabisaaaaaaaaaahata siku moja kanji hajawahi kuliwa pesa yake, tupo hapa mpaka mwisho wa mechi utaniambia tena
mwenzako akinyolewa wewe zako tia maji....kesho tupo hapa pia...ndo utajua wewe ni kolo au paka shumePiga hao vyura