Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuona gwede gwede unateseka na mwiko mmojaMbumbumbu
nimeuliza tu kiongoz mim kama mpenda sokaSisi tunakamilisha ratiba, hizo hesabu zako kaa nazo
Jini kaziniBaada ya kudraw mkafika wapi?
Kesho baada ya match yenu mtaanza kulalamika kuhujumiwa na majini ya Yanga.😃😃😃 mmekimbia uzi wenu baada ya kusokomezewa ule mwiko wenu.
Hii ni Aibu kwakweliMfano chura apigwe 4 halafu belouizdad ashinde 3 hapo nani anafuzu
mkuu mim sio shabik wa tim zenu hizi za kichawiKolo
mbona unahasira sana we kinyeoEti mmfunge mwarabu nyie matako
Yule aliekula chuma NNE alikuwa Mmakuwa?Eti mmfunge mwarabu nyie matako
atafuzuje na point 8 sawa mwenzie?Amka ..watu washa fuzu zamani sana bado kolo fc tu A.k.a Mo simba ndo aja fuzu
Naona leo mnajiliwaza na kujipa furaha bandia.Hahahah. Mzize bwana....