Ahyan
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 2,310
- 5,482
Sawa.. niko paleeeKesho kama kusukuma mlevi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.. niko paleeeKesho kama kusukuma mlevi tu
Lofa mama akoWale mliowafanyia shirki juzi mkawafunga 4 na nyie nyote mna pointi 8, mmeenda kwa kanuni sio vinginevyo malofa nyie.
Ongeza na mahi wake kabisa..Lofa mama ako
Utasubiri kama unavyosubiria mwali atoke mkoleni...Tunachojua tumeingia robo
Shida ipo kwa madunduka kesho tuyacheke
Simba imeshavuka mara nyingi shughuli ilikuwa kwenu😁Hii midomo ya makolo inawatiaga mikosi balaa. Hujavuka mto unaweka mdomo kwa waliovuka.
Mbumbumbu hawezi kuelevuka.
Na iliwachukua muda kupunguza haya magoli ya away away maana walikuwa wanaruhusu sana kufungwa magoli mengiWenzetu walikulaga Makofi Ya Nyani [emoji23]View attachment 2921782
Kumbuka wakati taifa liko kwenye msiba Horoya alikufa 7-0, subiri uone kesho wakati taifa limetoka kumzika Rais MstaafuSawa.. niko paleee
Wenzetu walikulaga Makofi Ya Nyani 😂View attachment 2921782
🤣😅😅😅😁😅🤣😅😅😁😁
Duh lakini ni kipindi cha koronaKumbuka wakati taifa liko kwenye msiba Horoya alikufa 7-0, subiri uone kesho wakati taifa limetoka kumzika Rais Mstaafu
Wewe pika mapema kabisa keshoUtasubiri kama unavyosubiria mwali atoke mkoleni...
Kama historia inafanya kazi basi pia mkumbuke galaxy aliwakanda hapo taifaKumbuka wakati taifa liko kwenye msiba Horoya alikufa 7-0, subiri uone kesho wakati taifa limetoka kumzika Rais Mstaafu
Nitakutumia dumu la wine upoozee machungu ya kuona mnyama anayeya..Wewe pika mapema kabisa kesho
Maana hata kula utashindwa kwa kupigwa kono la nyani na makhirikhiri
Kuruthum vaa ule mtandio wako wa njano njoo chumbani tuongeeYanga akifungwa niiteni Kuruthumu.