Ndio madudu gani?
Nabaki TBCTVE ni HD ilyochangamka
Sio kweliKuangalia mpira kupitia TBC unaweza hisi Kuna mvua kubwa inanyesha uwanjani kumbe ndio HD hivyo
Haipo hivyo.
Leo uzi umeenda Live One hour before.
Admin wa zamu ni Simba...
#nguvumoja#
We zira tu wenzio twala tena tunarusha makota kabisa mkononi tumeshika chumviKuliko niangalie TBC bora hata hiyo mechi nisiangalie
Upo sahihii kabisaBora TBC kuliko TVE aisee
Tuliseleleka na Ganda la ndizi Mechi zote za AfconπTBC inainua wanyonge walio wengi
Acha kukariri mkuu kisa tuu n TBC, mechi za kombe la dunia na AFCON zote zilikuwa HD.Kuangalia mpira kupitia TBC unaweza hisi Kuna mvua kubwa inanyesha uwanjani kumbe ndio HD hivyo
Azam mjanja ndio maana aliingia mkataba wa miaka 8. Ina maana mtu hakuna broadcaster ataingilia hapa kati.Muda gani huo,ngoja mchina avalie njuga hili swala halafu uone kama Azam atatoboa.