Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi nimesema mimi ni mrwanda? Nimesema wabongo tunapenda kua negative.Samahani mrwanda.
Nilijikuta nimezaliwa mbongo, na siukatai.
Kitu kingine ambacho sifanyi ni kujitia ujinga kua eti simba inaenda kushinda nyumbani kwa Wydad.
Samahani kama mtazamo huu haukuvutii ila ndo mtazamo wangu. Upokee tusubiri second leg.
Utanielewa next week, jamaa wamekuja kula EidIliyochezea kichapo?
Chamaa leo kakosa bao la wazii hadi nilikua natamani kulia kwa sauti, maana chozi lilikua linatokaaa.Hongera kwa ushindi, na hasa goli zuri ambalo mchoro wake hakuna angeweza kuuchora kabla.
Nafasi ya Simba kufuzu ipo ikiwa itakuwa bora kimbinu kuwazidi hao Wydad Casablanca.
Wydad walianza kuvutavuta na kukamata wachezaji wa Simba. Ile ni ishara gani, kuzidiwa au mbinu za mchezo?
Chama apunguze zaidi mbwembwe, Kuna goli ilikuwa afunge leo.
Makocha na wachezaji watenge muda kurejea hii mechi katika video.
Ule mchezo wa away, wajipange kumiliki zaidi pale kati.
Kasi ya Wydad kule Morocco itakuwa mara dufu, ni kazi ya makocha kubuni mbinu.
Simba irejee video zote za mavurugu ya Morocco, iwe mvua, kelele, tarumbeta nk waone kawaida.
Ule mkakati wa kuitoa Zamaleki 2013 uboreshwe zaidi. Simba ioneshe haijafika hapa kwa kubahatisha.
Hakuna lisilo wezekana na Wala haitakuwa miujiza Simba kuingia nusu fainali.
Kuna watauliza kwa wachezaji gani? Ni hawahawa, mbinu na bidii zaidi Simba wanavuka kibabe.
Mengi yalisha fanywa na Simba huko nyuma, kwanini isiwezekane sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simba inakutesa sanaa, sijui kwann unatesekaa, kwan ni lazima wee utesekee??Nimesema hivyo kwa sababu hata Yanga ilishawahi kumfunga Al Ahly (ikiwa ni ya moto kweli kweli) goli 1-0 uwanja wa Mkapa, na kwenye mechi ya marudio kule Cairo na yeye akafungwa 1-0!
Mwisho wa siku Al Ahly alisonga mbele kupitia mikwaju ya penati. Na hapo ni baada ya Said Bahanuzi kukosa penati ya mwisho.
Kwa hiyo historia ya Yanga ingeandikwa iwapo ingeifunga Al Ahly na kufuzu hatua ya robo fainali. Na siyo kwa sababu alimfunga kwenye uwanja wa Mkapa. Bila shaka nimekujibu vizuri.
Nimekuzoea na hizo PolimilaiUtanielewa next week, jamaa wamekuja kula Eid
Kumbuka hata ww yanga nilikugongaUsicheke,kazi bado.Simba nje.Asanteni kwa kushiriki. Pale Mohamed VI mtachapwa vibaya mno nje ndani.
Nisamehe...Una matatizo gani leo una kazi ya kunishangaa kila mahala.?
Inshaallah,kikubwa usiache kumpa mkono Hackimi katuheshimisha😂😅Mimi hata wanikatae na wanipige Morroco ni moja Kati ya nchi ninazozipenda hapa Africa ,nikipata hela panapo majaaliwa nitafanya utalii hapo mpaka jezi yao nimenunua.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]Hii trip ya Morocco lazima tukodi ndege tuingie Casablanca kibingwa, hakuna muda wa kupitia sijui Ethiopia, sijui Dubai. Yanga wameondoka Jumatatu mpaka leo wako njiani hawajafika Nigeria. Wanaungaunga tu.
Simba iliyoanzishwa mwaka 1936 ina udogo gani ?Hapo ndio udogo wa timu ulipo Sasa. Yaan hizo chance zingekuwa ni kwa wydad akiwa nyumbani simba angekula zaidi ya tano
Yeah... Leo tena Simba imeendelea weka rekodi ya kuwa timu ya kwanza ya TZ kufunga timu kutoka Morocco baada ya kiifumua Berkane pia mwaka janaSimba anawapa wakati mgumu sn Yanga
Haikuwa Yanga. Ilikuwa Simba. Na alikuwa anaongoza 2. Match iliyofuata ikawa draw. Nakumbuka ni kati ya 1998 mpaka 2000 hapo. Timu pinzani siikumbuki bali walikuwa waarabuHii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....
Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....
Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Hao leo walicheza?Mimi ninawatahadharisha wachezaji hatari maana ni mpenzi wa ligi juu ya Morroco ,hao wote ni wakuchungwa kuna mmoja anaitwa Walid Al Katri hayupo pichani huyo ni Neymar mtupu naogopa nikimuweka hapa nitazua taharuki.View attachment 2595841
Waliingia mwishoni baadhi maana ni silaha za maangamizi zinatumiwa kumaliza shughuli ,mechi ya pili natumai wataanza .Hao leo walicheza?
Mchezaji anayeanzia benchi hajawahi kuwa tishio.Waliingia mwishoni baadhi maana ni silaha za maangamizi zinatumiwa kumaliza shughuli ,mechi ya pili natumai wataanza .