FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

FT: CAF Champions League: Simba SC 1-0 Wydad AC.. Mkapa Stadium.. Dar.. 22.4.2023

Samahani mrwanda.
Nilijikuta nimezaliwa mbongo, na siukatai.
Kitu kingine ambacho sifanyi ni kujitia ujinga kua eti simba inaenda kushinda nyumbani kwa Wydad.

Samahani kama mtazamo huu haukuvutii ila ndo mtazamo wangu. Upokee tusubiri second leg.
Wapi nimesema mimi ni mrwanda? Nimesema wabongo tunapenda kua negative.
 
Hongera kwa ushindi, na hasa goli zuri ambalo mchoro wake hakuna angeweza kuuchora kabla.

Nafasi ya Simba kufuzu ipo ikiwa itakuwa bora kimbinu kuwazidi hao Wydad Casablanca.

Wydad walianza kuvutavuta na kukamata wachezaji wa Simba. Ile ni ishara gani, kuzidiwa au mbinu za mchezo?

Chama apunguze zaidi mbwembwe, Kuna goli ilikuwa afunge leo.

Makocha na wachezaji watenge muda kurejea hii mechi katika video.

Ule mchezo wa away, wajipange kumiliki zaidi pale kati.

Kasi ya Wydad kule Morocco itakuwa mara dufu, ni kazi ya makocha kubuni mbinu.

Simba irejee video zote za mavurugu ya Morocco, iwe mvua, kelele, tarumbeta nk waone kawaida.

Ule mkakati wa kuitoa Zamaleki 2013 uboreshwe zaidi. Simba ioneshe haijafika hapa kwa kubahatisha.

Hakuna lisilo wezekana na Wala haitakuwa miujiza Simba kuingia nusu fainali.

Kuna watauliza kwa wachezaji gani? Ni hawahawa, mbinu na bidii zaidi Simba wanavuka kibabe.

Mengi yalisha fanywa na Simba huko nyuma, kwanini isiwezekane sasa.
Chamaa leo kakosa bao la wazii hadi nilikua natamani kulia kwa sauti, maana chozi lilikua linatokaaa.
 
Nimesema hivyo kwa sababu hata Yanga ilishawahi kumfunga Al Ahly (ikiwa ni ya moto kweli kweli) goli 1-0 uwanja wa Mkapa, na kwenye mechi ya marudio kule Cairo na yeye akafungwa 1-0!

Mwisho wa siku Al Ahly alisonga mbele kupitia mikwaju ya penati. Na hapo ni baada ya Said Bahanuzi kukosa penati ya mwisho.

Kwa hiyo historia ya Yanga ingeandikwa iwapo ingeifunga Al Ahly na kufuzu hatua ya robo fainali. Na siyo kwa sababu alimfunga kwenye uwanja wa Mkapa. Bila shaka nimekujibu vizuri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simba inakutesa sanaa, sijui kwann unatesekaa, kwan ni lazima wee utesekee??
 
Hii trip ya Morocco lazima tukodi ndege tuingie Casablanca kibingwa, hakuna muda wa kupitia sijui Ethiopia, sijui Dubai. Yanga wameondoka Jumatatu mpaka leo wako njiani hawajafika Nigeria. Wanaungaunga tu.
 
Mimi hata wanikatae na wanipige Morroco ni moja Kati ya nchi ninazozipenda hapa Africa ,nikipata hela panapo majaaliwa nitafanya utalii hapo mpaka jezi yao nimenunua.
Inshaallah,kikubwa usiache kumpa mkono Hackimi katuheshimisha😂😅
 
Hii trip ya Morocco lazima tukodi ndege tuingie Casablanca kibingwa, hakuna muda wa kupitia sijui Ethiopia, sijui Dubai. Yanga wameondoka Jumatatu mpaka leo wako njiani hawajafika Nigeria. Wanaungaunga tu.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]
 
IMG-20230422-WA0183.jpg
 
Ni heshima kumfunga bingwa.... halafu wachambuzi wengi uchwara walisema simba anakufa home and away.. Naomba muwe watulivu, hata kama Simba atatoka ila sio kwa aibu kama mlivyodhani, na Wydad wakileta dharau, hawataamini macho yao
 
Hii mvua imenikumbusha miaka ya nyuma sikumbukii vizuri yanga alicheza na waarabu yanga akawa amewafunga waarabu kama sikosei goli kama 3
Mechi Ili sitishwa Kwa ajili ya mvua............
Mechi ikachezea siku iliyo fuata na yanga wakapoteza.....

Wenye kumbu kumbu ana weza ku share.....

Mfano mvua inge endelea kiasi Cha KUSHINDWA KUENDELEA....
Mfano,
Ingetakiwa ihairishwe mpka siku inayo fuata watamalizia muda ulio Baki au wana Anza upya......
Naombeni ufafanuzi....
Haikuwa Yanga. Ilikuwa Simba. Na alikuwa anaongoza 2. Match iliyofuata ikawa draw. Nakumbuka ni kati ya 1998 mpaka 2000 hapo. Timu pinzani siikumbuki bali walikuwa waarabu
 
Back
Top Bottom