Ko mnabeza kama sehemu ya motisha sioZijue faida za mafanikio ya Yanga kubezwa
Nimemsikia Ahmed Ally akibeza mafanikio ya Yanga kwamba imekutana na vibonge kwa hatua zote alizopita,swali ambalo semaji la CAF hawezi kujibu ni kwamba je Yanga imebeba ubingwa wa NBC Simba akiwa wapi?(Ambayo ni timu imara na giant zaidi ya Yanga?) Achana na hilo swali utapigwa makofi. Wapo...www.jamiiforums.com
Na kwakua mliwahi kusema mafanikio yenu yamechangiwa na kubezwa na mashabiki wa Simba.
Basi nasisi leo tutaangalia namna bora ya kuwafanya mpate motisha ya kuzidi kukaza, mchukue kombe.
Ila kama timu isipobadilika kipindi cha pili, aisee hawa jamaa wataondoka na ushindi. Maana timu yetu imekosa kabisa watu wa kumpitishia Mayele mpira.Uzuri Yanga hana cha ugenini anakulaga tu.
Alhabib alhabib Wahid sufur
๐๐๐๐๐๐๐๐!I LOVE YOU TOO BABY [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Maneno tunamaliza mkuu hawa leo hawatokiFans wa usma tusimalize maneno, tusubili dk90 zikamilike
Mnamtoaje mchezaji kipenzi cha rais,hauko siriazi weweToa azizi ki anakaba wenzake
๐๐๐๐๐๐๐ mwache mwenyekiti wa komwe huyoKOMWE LA ALIKAMWE LAIPONZA UTOPOLO [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
HABIB HABIB ูููููููููููููุจูููุทูุฐูุฐุจู
Kumbe na wewe ni Uto fan ๐๐In Shaa Allah Yanga watarudisha na kushinda.
Mpira haujaisha ukiisha utapoteana humu๐๐
Second leg ni lini tupae hadi Algeria
twende tukawapongezee waarabu kwa kidogo hichi
Hahaha.........ujasiri wa kushangilia unatoka wapi kama watu wameloa kwa Mkapa ๐Shangilia uone hasira za uto, watadhani unashabikia Waarabu. Hili tatizo lipo katika makuzi ya mtanzania, hatuna utamaduni wa kukubali kuwa tofauti.
Ni kweli........Ila nafasi mnayo wanetu, ngoja tuone kipindi cha pili Nabi atakuja na mpango gani