Bantu Lady Ujue Nimecheka hadi nimepaliwa. Koh koh koh.Pale litimu lako linaishia robo... eti una nguvu ya kuicheka timu inayocheza fainali. Zaidi hiyo ni Leg 1 of 2... lolote linaweza kutokea kwenye Final leg 2 of 2.
Tunawaachia uzi, timu mkeshe hapa. Yanga bado ni bingwa wenu wa NBC, mna mengi ya kutolea uchungu leo... tunaelewa.
Yah ,kisoka nyeupe kabisa kumbuka Liver vs Ac milan final UEFA Pamoja na matukio mengi ya kisoka uzuri Yanga sio Kolo.Bado huko kwako inaonekana nyeupe?
Sahau maisha yako yote my sister, kule ni sehemu ingine kabisaPale litimu lako linaishia robo... eti una nguvu ya kuicheka timu inayocheza fainali. Zaidi hiyo ni Leg 1 of 2... lolote linaweza kutokea kwenye Final leg 2 of 2.
Tunawaachia uzi, timu mkeshe hapa. Yanga bado ni bingwa wenu wa NBC, mna mengi ya kutolea uchungu leo... tunaelewa.
Waliingia Kwa kuvunja mageti natamni kjua wameondokaje😀😀Alizeti imevunwaaaaaaa
🤣🤣🤣🤣😄🤣🤣🤣 kuna watu wana mambo. Hawajui Yanga anawakilisha Tanzania na waTanzania. Au nasema uongo jamani Shadeeya Bantu Lady Scars
Achana na mimi mzeee...leo ni kwamba mmepigwaaa haitabadilisha ukweli...Inadhihirisha ulikuwa umebakia kuokota makopo barabarani au kunywa sumu ufe kabisa sababu tu ya Yanga FC kubeba ubingwa wa CAFCCL mwaka huu 2023 [emoji1787]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Waliokuwa wananibishia wanasema Gadaffi amekufa ebu njoeni muelezee hii kitu.Mechi bado sana
Toaaaa uduguuuuu toaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yamekua haya tenaaaaaaMpaka hapo Yanga Hakuna ninachowadai
Vibaya saaana sanaMmepigwaaaaaaaaa
Wewe jamaa nimekupenda bure, ungekuwa demu ningekufuata tukeshe wote tunafurahi maana furaha zetu leo zimepatana😂🤣Nyie msitupangie la kusema mkiamua mtupe makomhe yote hata kombe la kutype sawaaa...ila mmepigwaaaaaaa
Wawakilishi wa Tanzania walitolewa na Uganda🤣😄🤣🤣🤣 kuna watu wana mambo. Hawajui Yanga anawakilisha Tanzania na waTanzania. Au nasema uongo jamani Shadeeya Bantu Lady Scars
Kujikuta wawakilishi lol....uwakilishi wa aina hii....watakua wamekwea ukuta 😆 😆Waliingia Kwa kuvunja mageti natamni kjua wameondokaje😀😀
Na tutapindua meza ugenini, tunza huu ujumbe utanikumbuka 03/06/2013, tuombeane uzima.Nyie msitupangie la kusema mkiamua mtupe makomhe yote hata kombe la kutype sawaaa...ila mmepigwaaaaaaa
Tumepigwa kwenye fainal ambayo hukuwahi kufika,levelsMmepigwaaaaaaaaa