Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Mazembe sio timu ya ushindan?unawafikia kwenye mafanikio?we mwakarobo mechi za caf huziweziWewe unaweza ukafika level za Club Bingwa?
Hiyo Yanga yako unayoiona bora mbona ilitolewa na Al Hilal?
Hata leo hii ukiambiwa ni lini uliwahi kucheza na timu yenye ushindani kama Al Hilal tangu utupwe huko shirikisho huwezi kuwa na jibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeshindwa kupigana kwakooo ndo utaweza kwa mwenzakooo??Zao zilikua Leo [emoji16][emoji28]
Nyie sinmmeroga
Nakujaa kulaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Napika pilau Leo aunt [emoji23][emoji23]
tulia utaona pira la yanga litakavyochezwa algeria. Mwarabu atapigwa kipigo cha mbwa koko kwao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] amka weee
Ulipigwa 3 taifa na katimu kabovu umekasahau nikukumbushe?Waulize pia walikutana lini na raja na wydad Casablanca tena wakiwa wa motoooo.
[emoji16]Naona unaquote sana...umevurugwa na mimi au??
Karibu sanaNakujaa kulaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uongo USMA ndo wamecheza ball, aziz ki kalambishwaa nyasi na hajaamini dadekiiiiii.Yanga wametembeza mbungi sana..nimefurahia wameimprove sana wame possess vizur sana. Ila naamini wanaweza pindua meza waongeze ushapu sana wakienda kwao.
Waarabu wanafitna sana kuchelewesha mpira.naamini chochote kinaweza tokea Dk 90 kule kwao zitaamua
Hebu katajeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ulipigwa 3 taifa na katimu kabovu umekasahau nikukumbushe?
Maana yake hapo unalikashifu TaifaNatamani sana ishinde. Inaiwakilisha Tanzania no doubt.
Bahati mbaya ni mdebwedo mpaka sasa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umeona wenzio wanavyocheza ball? Lile bao LA 2 unalizungumziajeeee???tulia utaona pira la yanga litakavyochezwa algeria. Mwarabu atapigwa kipigo cha mbwa koko kwao
Mbumbumbu watahama hama sana tu kwenye klabu nyingi, hawataamini Yanga atavyopindua mechi ugenini 03/06/2023 na watadai ni timu dhaifu ndiyomaana imefungwa fainali za CAFCCL na Mabingwa wapya Yanga FC 2023 [emoji28]Unajivunia nn msimu huu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] katazame upyaa marudio, huenda umesimuliwa wee.Hawa Waarabu hawana mpira wa kutisha .next match tutakuwa hapa
Kuchomoa mwiko sawa lakini kuchomoa bao 2 siyo rahisihapo tu, mbona yanga itachomoa ugenini?
Najivunia pumzi na afya njema niliyonayoUnajivunia nn msimu huu?
Wee lulu kaa kimya.Alafu fundisheni mashabiki wenu namna ya kuitambua michezo wanayocheza inavyoitwa. Hii michezo mwenzako aliyofika robo sio ambayo wewe ulitolewa?
Ishu sio mchezaji mmoja mmoja...si umeona ile ball possesion tuliwazidi mbali..!Acha uongo USMA ndo wamecheza ball, aziz ki kalambishwaa nyasi na hajaamini dadekiiiiii.
Job nae hadi alikalia matako chini ndiiiii, jinsi alivyo zungushwaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naunga mkono hojaKilichowaponza Yanga ni midomo. Ukiona Kwa Mkapa mvua inanyesha ukue hiyo mechi Simba wamesharoga.