FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Nani mlimpiga kwao mkienda mnaambulia kupigwa tu Nani mtaje mwarabu mliempiga ? Ukiniambia Mimi nakutajia Yanga mwarabu aliempiga haya wewe taja Nani ?
Muarabu unae kutana nae wee, tuki kutana nae sie analowaa mengiii.
 
Bado nafasi ipo japo ni finyu,so hata tukitoka still zipo medali ya mshindi wapili wanaotupigia makelele hajawahi kufika hatua hii hatua wala kuvaa medal.Hii inaonyesha sisi ni wakubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani nyie kumbe mnagombania Medali??? Hebu tujuzeee?

Ko mnataka kombe LA Medali sasa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii mechi nadhani morrison alitakiwa aanze then kisinda aje kumalizia.
Morisson mwenyewe kashika mpira mara 2 tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tutoleee ashuo hapaaa.
Mmekandwaaaaaaaaaaaaa!!! Huko Burundi mtaenda nyie baada ya kutoka na aibu huko Algeria.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Aiseeeeee
Umeshinda bas
Your browser is not able to display this video.
 
Kuna haja ya uongozi wa yanga kumfanyia tadhimini kocha nasredine nabi kama kweli anatosha kama kocha wa yanga.
Timu inacheza vile vile miaka nenda miaka rudi. Ni kama kocha hana cha kuwaongezea wacheza.
Kheeeeeeeh mmeshaanza kumkataa Nabi mapema yotee hiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Professor km professor leo kawa undergraduate. Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kheeeeeeeh mmeshaanza kumkataa Nabi mapema yotee hiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Professor km professor leo kawa undergraduate. Woiiiiiiih [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]wamelowaaaaaaaaaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walianzishaaa kwa mbwembweee uwiiiiiih.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…