FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Hii simu sijui imepatwa na Nini aisee it's almost two weeks now picha kwenye jf hazi display [emoji35]
Una pretend

Utasimuliwa maelezo ya kwenye picha

Hiyo picha inamuonesha Raisi wa Club yenu ya Yanga Engineer Hersi akiwa amevaa jezi ya Kaizer Chiefs kwa ajili ya kuisapoti kwenye mechi dhidi ya Simba.
 
Watu tumetoka mbali sana kwa ajili ya hii mechi tu, na tunaondoka leoleo baada ya mechi kurudi Kijijini.
Your browser is not able to display this video.
 
USM ALGER WANAKULA KARANGA MBICHI SSHV[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
USM Alger hawawezi kufungwa na timu ya ujanja ujanja kama Utopolo......NEVER.

Let's go Alger [emoji837][emoji837][emoji837].
 
HABIB HABIB THALATHA BIN THIFULI
USM ALGER LE CHAMPION

مسمينينطنثنثمحمو ىووينطويثحخ ووويوثنينىطىظىسمmayele Hospital [emoji196][emoji196][emoji196]
 
Kila la kheri timu yangu toka nikiwa mdogo Union Sportive de la Médina d'Alger!!!
 
Update Uzi kikosi kishatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…