FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

FT: CAFCC FINAL 22/23 First Leg | Yanga SC 1-2 USM Alger | Mkapa Stadium | Mei 28, 2023

Mbona kabla ya Yanga kucheza na hizo timu wachambuzi hapa Jf mnakuwa na kauli kuwa anapigwa ila akishinda inakuwa alicheza na vibonde ?

Vyovyote vile bahati ikitokea hauwezi kuwin ukiwa lelemama na historia ishandikwa na status ya Yanga kimataifa imepaa maradufu mwaka huu.
Yes hilo lipo, lakini ukweli ambao upo na amini hata wewe unaelewa hujawahi kukutana na aina hii ya huyu mpinzani

Kwanini mlivyopangwa na Rivers mlifurahi, lakini mlivyosikia fainali mnacheza na USM ALGER ile furaha mliyoionesha kwa Rivers United haikuonekana?
 
Yes hilo lipo, lakini ukweli ambao upo na amini hata wewe unaelewa hujawahi kukutana na aina hii ya huyu mpinzani

Kwanini mlivyopangwa na Rivers mlifurahi, lakini mlivyosikia fainali mnacheza na USM ALGER ile furaha mliyoionesha kwa Rivers United haikuonekana?
Hana upinzani wowote huyo Mwarabu Koko wako, narudia tena kwenu Ndugu zangu Makolokolo jifunzeni kuwa na akiba, mpira huwa hauna matokeo ya kukariri.

03/03/2023 Tukiwa wazima utaufukua huu ujumbe kunikumbusha Yanga FC akishatwaa ubingwa.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Yes hilo lipo, lakini ukweli ambao upo na amini hata wewe unaelewa hujawahi kukutana na aina hii ya huyu mpinzani

Kwanini mlivyopangwa na Rivers mlifurahi, lakini mlivyosikia fainali mnacheza na USM ALGER ile furaha mliyoionesha kwa Rivers United haikuonekana?
Ndio maana nasema huna akili fanali unapangwa ukutane na nani?
 
Sina haja ya kwenda huko tuna dakika 90 away
Okay najua we ni mvivu sana

Post in thread 'FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023' FT: CAFCC: USM ALGER 2 VS 0 ASEC MIMOSA | 17/05/2023

Screenshot_20230528-194407.png
 
Back
Top Bottom