Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ushakuwa therapist naona umeanza kutoa counselingBad luck we will bounce back
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushakuwa therapist naona umeanza kutoa counselingBad luck we will bounce back
Hao hata hawaumizi kichwa wanatamani wangekua wao ila ndio basi tenaBado nafasi ipo japo ni finyu,so hata tukitoka still zipo medali ya mshindi wapili wanaotupigia makelele hajawahi kufika hatua hii hatua wala kuvaa medal.Hii inaonyesha sisi ni wakubwa.
Yes hilo lipo, lakini ukweli ambao upo na amini hata wewe unaelewa hujawahi kukutana na aina hii ya huyu mpinzaniMbona kabla ya Yanga kucheza na hizo timu wachambuzi hapa Jf mnakuwa na kauli kuwa anapigwa ila akishinda inakuwa alicheza na vibonde ?
Vyovyote vile bahati ikitokea hauwezi kuwin ukiwa lelemama na historia ishandikwa na status ya Yanga kimataifa imepaa maradufu mwaka huu.
Kaangalie kwenye uzi wa update ya USM ALGER na Asec Mimosa utaonaWewe hunaga akili unasubiri matokeo ndio utoe mapovu
Hamna like goli jamaa wamefosi sana hadi kuingiaUwezo... mipira mingi walikuwa wanamlenga
Wacheni wafurahi ila wanaume ndio wa kwanza kufika fainali within a 2 yrs,hata tukikosa still tuna experience.Hao hata hawaumizi kichwa wanatamani wangekua wao ila ndio basi tena
Kujizana na wewe ni kupoteza mda bure!Ushakuwa therapist naona umeanza kutoa counseling
Hana upinzani wowote huyo Mwarabu Koko wako, narudia tena kwenu Ndugu zangu Makolokolo jifunzeni kuwa na akiba, mpira huwa hauna matokeo ya kukariri.Yes hilo lipo, lakini ukweli ambao upo na amini hata wewe unaelewa hujawahi kukutana na aina hii ya huyu mpinzani
Kwanini mlivyopangwa na Rivers mlifurahi, lakini mlivyosikia fainali mnacheza na USM ALGER ile furaha mliyoionesha kwa Rivers United haikuonekana?
Ndio maana nasema huna akili fanali unapangwa ukutane na nani?Yes hilo lipo, lakini ukweli ambao upo na amini hata wewe unaelewa hujawahi kukutana na aina hii ya huyu mpinzani
Kwanini mlivyopangwa na Rivers mlifurahi, lakini mlivyosikia fainali mnacheza na USM ALGER ile furaha mliyoionesha kwa Rivers United haikuonekana?
we ujawai kuwa mzima hata siku moja usimba unakuwasha sanaKaangalie kwenye uzi wa update ya USM ALGER na Asec Mimosa utaona
Sina haja ya kwenda huko tuna dakika 90 awayKaangalie kwenye uzi wa update ya USM ALGER na Asec Mimosa utaona
Ishu sio kupangwa ishu ni kufurahia mpinzani unayekutana naye kwakua una uhakika wa kumfunga.Ndio maana nasema huna akili fanali unapangwa ukutane na nani?
Okay najua we ni mvivu sanaSina haja ya kwenda huko tuna dakika 90 away
Acha makasiriko hakuna aliekutuma ushabikie timu bovu.Ndio maana nasema huna akili fanali unapangwa ukutane na nani?
Huyu mzeee wa Luis Vuition na Luis vation,,,anachekaaaaaaa
Mayele yupo pekee ake hamna msaidizi mbinu za nabi Leo za hovyo[emoji16][emoji16]Hii mechi nadhani morrison alitakiwa aanze then kisinda aje kumalizia.
Napenda vitaHuyo Mwanzisha Thread Ni Yanga
MMbona UmejAa Makasiriko Wewe