Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Ligi zote huwa na mechi zaidi ya moja, kwahiyo?Wakivuka hapa kuna Pyramids
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ligi zote huwa na mechi zaidi ya moja, kwahiyo?Wakivuka hapa kuna Pyramids
Jieleze vizuriLigi zote huwa na mechi zaidi ya moja, kwahiyo?
Wanaboa sanaAzam waachane na mpira wa miguu
Kwa hyo na nyie mlipopigwa hamsa mpo mochwari?bado kuna wale wanaopiga bomu mwachwari
Fei Toto anachotaka ni hela na nyumba ya bure tuFei akiongeza mkataba kwa hii timu nitamshangaa sana.
Kuna mahali nilishauri Azam wawe wanapokwa point, wasimalize nafasi ya 2Azam Fc wametuaibisha sana
Wametuangusha sanaKuna mahali nilishauri Azam wawe wanapokwa point, wasimalize nafasi ya 2
Kwa heshima ya nchi
Analipwa sh ngapiFei akiongeza mkataba kwa hii timu nitamshangaa sana.
Hawezi kukujibuKwa hyo na nyie mlipopigwa hamsa mpo mochwari?
Kwani aliwahi kufanya maajabu gani kwenye mpira? ndio level zake hizoFei akiongeza mkataba kwa hii timu nitamshangaa sana.
Na kweli🤣Kwani aliwahi kufanya maajabu gani kwenye mpira? ndio level zake hizo