Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Wachezaji wa Costal Union wameshamzidi Refa akili, wanajiangusha na kutafutia Wachezaji wa Yanga kadi za kijinga na Refa naye hata hatumii akili kuwa Costal Union wamekamia mechi hiiHuyu refa wa leo katumwa nini
🤣🤣🤣Huyu refa wa leo katumwa nini
Ana kazi maalum,coastal wanapaswa kishushwa daraja,huo uwanja huwa na shida sanaHuyu refa wa leo katumwa nini
Dah! Baada ya kuwafunga Simba😄🤦🏾♂️Kwani hizi thread zina nini siku hizi jamani hadi watu mnawahi kuzipost saa sita ya usiku?
Hizi ndio mechi za kuwachezesha Metacha, Kibwana, Fredy, Mauya, Sureboy, Konkoni, Moloko,Skudu hata Musonda maana hana msaada wowote first eleven.
Wazee wa kazi wapumzike, huwezi kumuanzisha Profesa Pacome Vs Coastal ni uonevu na unyanyasaji.
Halaf hajui ni tawi la SimbaWachezaji wa Costal Union wameshamzidi Refa akili, wanajiangusha na kutafutia Wachezaji wa Yanga kadi za kijinga na Refa naye hata hatumii akili kuwa Costal Union wamekamia mechi hii
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Siyo hatumii akili,ana maagizo maalumWachezaji wa Costal Union wameshamzidi Refa akili, wanajiangusha na kutafutia Wachezaji wa Yanga kadi za kijinga na Refa naye hata hatumii akili kuwa Costal Union wamekamia mechi hii
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
junapili ile azizi ki aliingia uwanjani saa 9 mchana na wenzie.wakaanza kuzunguka uwanja na kufanya ushirikina sana leo naona mganga kagomaUsipogope kusema bahasha
Wamegoma kuingia kwenye mfumo wenuWachezaji wa Costal Union wameshamzidi Refa akili, wanajiangusha na kutafutia Wachezaji wa Yanga kadi za kijinga na Refa naye hata hatumii akili kuwa Costal Union wamekamia mechi hii
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Toka kwa Mkuu wa TFF, maana si ni Simba dam dam yule?Siyo hatumii akili,ana maagizo maalum
Ndoa ya IhefuCoastal Union wanataka watetee ndoa ya dada yao simba
MKONO MMOJA WEKA JUUU WEKA SAIZI YAKOFC Utopolo, Manyani, Vidimbwi, Vyura, Rushwa, Mihogo, Mwiko Nyuma, ...
Ha ha ha ha mmeshindwa kuwaingiza kwenye mfumo wenu?Coastal Union wanataka watetee ndoa ya dada yao simba
Sio kweli kabisa, Yanga wamepanikiWachezaji wa Costal Union wameshamzidi Refa akili, wanajiangusha na kutafutia Wachezaji wa Yanga kadi za kijinga na Refa naye hata hatumii akili kuwa Costal Union wamekamia mechi hii
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Subiri kipindi cha piliHa ha ha ha mmeshindwa kuwaingiza kwenye mfumo wenu?
Jifunze kuwa na akiba ya maneno Ndugu yangu.Wamegoma kuingia kwenye mfumo wenu
Mke mdogo naona anaharibu ladha ya mpira kwa kufanya vituko wakiogopwa kupigwa mkono wa nyani kama mke mkubwa. Waambie watulie, wakipigwa kadi nyekundu msianze kujiliza.Eeh Mungu unajua nachohitaji kwa wadogo zangu wa Tanga