Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Huyo Bacca game ikiisha hajatoa penalty ashukuru Mungu naona anatumia nguvu sana kuliko akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia kwenye TV ukaweke Penat.Mara ya pili hii Backa anafanya faulo kwa kumvuta mkono mshambuliaji wa Cr Belarouzidad
NakaziaUzalendo naweka pembeni, dual yangu uto wapigwe ili wakae kimya, haiwezekani mechi ushindi kwa Simba ndo kila siku mnaongelea hilo? 💩 poor
Ingia kwenye TV ukaweke Penat.
Hawaamin macho yaoHilo goli sio la kufungwa kabisa, kipa hovyo kabisa
Itakuwa kahongwa biriani 😂😂Hilo goli sio la kufungwa kabisa, kipa hovyo kabisa
Hizo pipo nazikubali sana, moto wao sio wa kuuotea karibu.Ili kulipiza sio ?....
Usifanye hivyo bhana, wewe hujawahi kuwa na roho ya kutu.
Hiyo tabia waachie kina NALIA NGWENA Labani og Chukwu emeka redio na vyura wengine walioletwa na mvua za El nino.