Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Tena Skudu hamna kitu paleHiki kikosi hata mimi nilikitilia mashaka tangu mwanzo. Ili tupaye ushindi; Skudu, Sure Boy, Moloko, Kibwana, na Mauya wanatakiwa wapumzishwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena Skudu hamna kitu paleHiki kikosi hata mimi nilikitilia mashaka tangu mwanzo. Ili tupaye ushindi; Skudu, Sure Boy, Moloko, Kibwana, na Mauya wanatakiwa wapumzishwe.
Wacheze hao hao hadi walete matokeo.Mudathir na Aucho wanatakiwa waingie kipindi cha pili. Hapo kati viungo wamepotea kabisa
Hata Sureboy na Mauya wanarukaruka tu, mipira inapita kati kirahisi mno.Ihefu wanatumia nguvu sana, Halafu Gamondi anaanza na kina kibwana, Moloko, Skudu wachezaji wasio na nguvu[emoji848][emoji848]
Aaahaaaaa,Kwa kikosi C Cha YangaIhefu ina watia adabu uto🥹🥹
Skudu mlaini kuliko hata ulaini wenyeweHiki kikosi hata mimi nilikitilia mashaka tangu mwanzo. Ili tupate ushindi; Skudu, Sure Boy, Moloko, Kibwana, na Mauya wanatakiwa wapumzishwe.
ikiwa hivi uje PM ntakutukia kakiFull time yanga 1-1 ihefu
Afadhali alipaisha mana nilishashituka. 😅Huyu Lafya ni chizi nafasi Ka hiyo anapiga minazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukitoa Sure boy na Moloko hao wengine unawaonea sija ona kosaHiki kikosi hata mimi nilikitilia mashaka tangu mwanzo. Ili tupate ushindi; Skudu, Sure Boy, Moloko, Kibwana, na Mauya wanatakiwa wapumzishwe.
Dakika 45 zijazo hauta kua humuMalalamiko fc wameanza mambo yao
Aaahaaaaa,Kwa kikosi C Cha Yanga
Mkuu punguza masikhara basi
Hahhhhhhhhhhh amka utakojoa kitandaniFull time yanga 1-1 ihefu
KabisaMudathir na Aucho wanatakiwa waingie kipindi cha pili. Hapo kati viungo wamepotea kabisa
Umekalili maishaDakika 45 zijazo hauta kua humu
Mbaya zaidi msimu uliopita tulipoteza point kwenye huu uwanja. Hivyo hakutakiwa kucheza kamari kwenye huu mchezo.Ihefu wanatumia nguvu sana, Halafu Gamondi anaanza na kina kibwana, Moloko, Skudu wachezaji wasio na nguvu[emoji848][emoji848]
Mwenyewe nilishajiandaa kuzima data [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Afadhali alipaisha mana nilishashituka. [emoji28]