rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Mbinu alizotumia ni sahihi ila amekutana na timu boraNamsikia kocha wa galaxy akiwaambia wachezaji kua katika carrier yake ya ukufunzi hajawahi kukutana na mpinzani mwenye kiwango cha juu kama simba
Kocha ameenda mbali akiwatoa wasi wasi kua hamjakosea mahala, mmecheza kama nilivyo waambia ila mbinu nilizosomea ni ngumu kuzitumia kwa wapinzani kama simba, cha msingi tujitahidi tushikilie bomba walau tupigwe goli mbili bila
Sisi atuna mudy na nyinyi forcus yetu ni kimataifa zaidi ndo maana tukicheza na nyinyi wala atukazi.Ninyi Simba ni mwembe wetu wa uani, tukitaka kula dodo tunautingisha tu na kula, mtatukimbia najua hamuwezi kukubali
Sent from my G3121 using JamiiForums mobile app
Eeeh Kwani Rivers United hatua ya awali alimtoa nani?Jwaneng hatua ya kwanza alimtoa nani?
Utopolo kwenye hii michuano hamruhusiwi kucomment tutakutana NPlJwaneng hatua ya kwanza alimtoa nani?
mnalitia aibu taifa na tuna mpango tusiwabebe tena ni heri biashara na azam aya muwapokee wakija tutatia 5 kama tulizowapiga nyinyi wazee wa kukamia mechi na simba tu.NGUVU MOJA ONE TEAM ONE DREAM
HakikaWamevuka hatua moja ambayo utopolo walishindwa
Mjiandae kuwapokea,soon wanatua BongoHii timu yenu kwamba hamjaona Namna inavyo struggle
Hapa simba hakuna kwasababu ipo botswanaHapa simba hakuna timu wakuu
Ingieni basi nyinyi kama mbadalaHapa simba hakuna timu wakuu
Mm nipo Gaborone mkuuHapa simba haipo kwasababu ipo botswana
Ndo wapi huko?Mm nipo Gaborone mkuu
Jwaneng alimtoa nani hatua ya kwanza?Eeeh Kwani Rivers United hatua ya awali alimtoa nani?
Au umeshasahau kuwa huyo Jwaneng ameanzia kwenye hatua ya awali ambayo Utopolo alipigwa?
lazima ustruggle ili upate matokeoHii timu mara ya mwisho kucheza ligi ni mwezi March 2020, na inamfanya simba kustruggle hivi
Aisee Andaeni lawama huko mbele kwa