Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshawauliza nyuki na lambalambatunawasubiri kwa hamu mtwambie hizi goli mlizipataje
Yeah lakini naweza kuwaelewa kwasababu moja tu ya eneo ambalo anacheza Mutale lina wachezaji wengine ambao ni bora zaidi wasio hitaji muda.Kwenye muda hapo sidhani kama uongozi utavumilia.
Timu zetu si unazifahamu lakini.
KakaAlichemsha alipokuwa Azam
Ndio apigwe mbili kama komeniHuyu Camara ni hatari
Amewaachia tu we si umeona hata ambavyo alikuwa hajisumbui kunusa hatariNdio apigwe mbili kama komeni
Chasambi aliyekuwa anakaangwa humu ni yule ambaye sehemu kama zile za kuachia mpira kwa wengine yeye anang'ang'ania kugunga mwenyewe.Japokuwa na sisi mashabiki hatuelewekagi muda mwingine
Huyu Chasambi watu wamemkaanga sana humu.
Ila leo anastahili kuwa man of the match.
Wagonjwa hao sio Mashujaa waliokuchekea Utopolopenati hadi kwa hawa wagonjwa itakuwa uonezi wa hali ya juu
Lile goli la Pili ukiangalia ni kama Camara aliliacha liingie makusudi tu maana alishajua points tatu ni zetu hivyo hakutaka kutumia nguvu tenaNdio apigwe mbili kama komeni
Kwani wamefanyaje tena mkuu?Ila moderator Leo mmejua kutufurahisha
Unasahau hao wagonjwa ulihenyeka kupata ushindi kwaopenati hadi kwa hawa wagonjwa itakuwa uonezi wa hali ya juu
Naunga mkono hoja ndugu yangu 😃 😀 😀 😃 😀Lile goli la Pili ukiangalia ni kama Camara aliliacha liingie makusudi tu maana alishajua points tatu ni zetu hivyo hakutaka kutumia nguvu tena