Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
🤮🤮🤮🤮🤮wote wanao tusumbua kipindi cha kwanza huwa tunawapiga 5 au 6 hadi mwisho wa mchezo kaa kwa kutulia utaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤮🤮🤮🤮🤮wote wanao tusumbua kipindi cha kwanza huwa tunawapiga 5 au 6 hadi mwisho wa mchezo kaa kwa kutulia utaona
Muhimu timu inapata matokeo.Sureboy alikua mtu wa NABI 🤣🤣
Humwambii kitu!
Yani Gamond huwambii kitu kwa Mzize
Usichokijua ni kwamba Chama alikuwa aende Yanga, ila Simba walikuwa kwenye ufalme kipindi kile hivyo Yanga asingeweza kunyang'anyiana na SimbaUtopolo inabidi mtushukuru kwa kumleta Chama tz
Ngoja tuone kipindi cha pili. Lakini goli limefungwa na beki kwa set piece.
Goli kama hilo inatakiwa lifungwe kwenye mechi ambayo ni ngumu na siyo hii Kengold huku mkijitapa kuwa na viungo na washambuliaji hatari.
according to ccmHivi Mbeya ni Jiji?
i love uSimba bingwa...
Tulieni jamani watafunga mengi tuu...wamesemaYaani hadi sasa timu imepata kagoli kamoja tu? Wameshindwa kufunga la pili? Wameshindwa kufunga la tatu? Wameshindwa kufunga la nane? Wameshindwa kufunga la 10?
Kamekua mama ya mzazi hako kagoli? Maana mama mzazi ndiyo anakuwa mmoja mmoja.
Wachezaji ndo wamesema?Tulieni jamani watafunga mengi tuu...wamesema
Ni kweli wana washambuliaji na viungo hatari kwani miaka miwili iliopita wafungaji bora wametokea timu ipi?Ngoja tuone kipindi cha pili. Lakini goli limefungwa na beki kwa set piece.
Goli kama hilo inatakiwa lifungwe kwenye mechi ambayo ni ngumu na siyo hii Kengold huku mkijitapa kuwa na viungo na washambuliaji hatari.
Mpira wa Bongo hujui kama timu inaweza ikaonekana mbovu ila zikikutana na Simba au Yanga zikapambana na kujitahidi katika uchezaji hadi wengine wanasema wanakamia mechi. Kingine pitch pia inaweza kuwa ni moja ya changamoto na la mwisho kipa wa Ken Gold kacheza michomo zaidi ya tatu ambayo ilikuwa ni za hatari na zilikuwa zinaelekea golini. La mwisho timu haiwezi kushinda kila mechi kwa lundo la magoli.Ngoja tuone kipindi cha pili. Lakini goli limefungwa na beki kwa set piece.
Goli kama hilo inatakiwa lifungwe kwenye mechi ambayo ni ngumu na siyo hii Kengold huku mkijitapa kuwa na viungo na washambuliaji hatari.
Hakuna mabao ya kutosha hapa, buku tano yangu imeenda,niliweka goli nne
Kwa maelezo yako,mji uko vilevile kama nilivyoukuta miaka zaidi ya kumi iliyopitaMbeya ndio jiji chafu kuliko yote 😂😂
city hamna kitu pabovu sanaa...kamji kaduchuu...kamepaukaa...vijumba vya matope mji mzima...mji biashara wanaanza kufunga saa 10....saa moja daladala hamna na watu hamna...jiji unazunguka masaa mawil limeisha
Kesho anakatwa mkiaSimba bingwa
Sawa sawa mkatajj naniKesho anakatwa mkia
Sioni daliliTulieni jamani watafunga mengi tuu...wamesema