TuntemekeSanga
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,346
- 862
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni kama lilivyo pengo la Sarpong kule Utopoloni
Yeah, hoja yangu kubwa ni kwamba hawawezi wote wakawekwa kwenye matumizi ya mechi mojaSio 19 ndugu
Hapo kipengele aiseeMwenda nae bure tu
Kocha sijui bado anazubaa niniKibu leo mpira umemkataa
Kaishaona mechi wameimiliki na hakuna possibility ya wapinzani kuchomoaKocha sijui bado anazubaa nini
Sio leo tu, tangia ile mechi ya Nyassa Bullet away mpaka leo ni [emoji91]Mzamiru leo kaubonda