FT: Madeama 1-1 Yanga | CAFCL | Baba Yara Sport Stadium | 08.12.2023

Liarabu hili refa ni lipuuzi. Ndio maana Wayahudi wanayagonga pale Gaza. Ukiuliza Max kapewa Kadi kwa Kosa gani? Jamaa limeinua Kiatu kabisa na pia dhamira yake ilikuwa kuumiza ila refa kanyamaza.
Refa anaastahili kufungiwa kabisa maana hata Diara kachezewa rafu alipokuwa nnje ya uwanja lakini hata hakuwapatia Mediama faulo
 
Mtu hajakabwa na alikuwa anakosa pale.. mnaanza kumsifia wa sayari nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…