Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 35,812
- 107,628
Daah yaani nateseka ila kuiacha yanga nashindwa.Dah! Kunywa maji mengi ndugu. Walau uuone hata mwaka mpya tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah yaani nateseka ila kuiacha yanga nashindwa.Dah! Kunywa maji mengi ndugu. Walau uuone hata mwaka mpya tu.
Kama ni ivo acha kushabikia mpiraDaah mm moyo jamani upo juu juu mtasikiaga nimekufa ajili ya yanga
Mnalilia Medeama wapewe red card ili mtoboe?Liarabu hili refa ni lipuuzi. Ndio maana Wayahudi wanayagonga pale Gaza. Ukiuliza Max kapewa Kadi kwa Kosa gani? Jamaa limeinua Kiatu kabisa na pia dhamira yake ilikuwa kuumiza ila refa kanyamaza.
Ila bado yupo mkia
Yanga yupo ugenini so atabaki na moyahii mechi tunashinda 3-1
Refa anaastahili kufungiwa kabisa maana hata Diara kachezewa rafu alipokuwa nnje ya uwanja lakini hata hakuwapatia Mediama fauloLiarabu hili refa ni lipuuzi. Ndio maana Wayahudi wanayagonga pale Gaza. Ukiuliza Max kapewa Kadi kwa Kosa gani? Jamaa limeinua Kiatu kabisa na pia dhamira yake ilikuwa kuumiza ila refa kanyamaza.
Mtu hajakabwa na alikuwa anakosa pale.. mnaanza kumsifia wa sayari nyingineHuyu refa ni 🚮 ya mwisho kabisa. Hii faulo aliyofanyiwa Kibabage ilistahili kabisa kadi nyekundu.
All in all, kwenye dirisha dogo, viongozi wasajili mshambuliaji. Hawa akina Mzize bado wana vitu vingi vya kujifunza.
Pacome Zouzoua, ni mchezaji wa sayari nyingine. Maana haya magoli yake yanastaajabisha kwa kweli.
Unamnanga Hersi eeYanga tuna wakati mgumu. Yaani mpaka Medeama wanamiliki mshambuliaji mzuri kuliko sisi!!! Nadhani viongozi wetu walipuyanga kwa kumuuza Mayele na kumnunua Konkoni.
Kocha tena? Mnatumia nini kufikiri?Kocha anaastahili kufungiwa kabisa maana hata Diara kachezewa rafu alipokuwa nnje ya uwanja lakini hata hakuwapatia Mediama faulo
Nawe acha ushabiki wa kitoto. Ile si straight red card au 5 zimewachanganya?Mnalilia Medeama wapewe red card ili mtoboe?
Nyie ni team ya ajabu kwa kweli 😂
Red card kama ingekua tackle from behind jitahidi uzijue sheria za mpiraMbona kwenye penati hakutoa red wakati job alikuwa mtu wa mwisho?
Nani kakwambia kuwa kila faulo ya mtu wa mwisho ni red card?Mbona kwenye penati hakutoa red wakati job alikuwa mtu wa mwisho?
CR alikula 2-1 ,mpira haujaisha,Wana hatari Wakiwa kwenye goli.laYanga kuliko Yanga Wakiwa kwenye goli la Madeama
Haha sawaKesho asafiri aende Morocco afundishwe na Kibu denis jinsi ya Kufunga sawa ?
Thanks, ni Refa nimekosea, ngoja nirekebishe BosiKocha tena? Mnatumia nini kufikiri?
Rage aliona mbaliNani kakwambia kuwa kila faulo ya mtu wa mwisho ni red card?